Tundu Lissu kuhutubia Taifa leo 01/01/2025 majira ya saa 6 mchana

Tundu Lissu kuhutubia Taifa leo 01/01/2025 majira ya saa 6 mchana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
 

Attachments

  • Screenshot_20250101_091702_Chrome.jpg
    Screenshot_20250101_091702_Chrome.jpg
    129.3 KB · Views: 3
Yes! Kaa Midomoni mwao...Kisha Akilini Mwisho Moyoni....Kijana Hapotei...Japo jana Arusha tulikuwa na Mkesha mkubwa sana. Ila ndo hivyo sasa kila mtu ashinde mechi zake.
 
Huyu ndiye mgombea mwenye nia ,sabb na hoja za kugombea uenyekiti, yule mwingine hana hata hoja moja...anasubiri tu kurubuni wajumbe machawa yake wampigie kura tarehe 21/1.
Ila wanachama wa kawaida kama katiba ingeturuhusu kupiga kura angeambulia kura za aibu mlafi mmoja wa madaraka makengeza!!.
 
Back
Top Bottom