Usimlinganishe Baba wa Taifa, Nyerere na hicho kituko chako, Msaliti wa Nchi Yetu ya TZ mwambie aende akahutubie Mabwana zake wa Ubelgiji huko.Leo watu watasubiri kwa hamu kama walivyokuwa wanasubiri hotuba za Nyerere.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimlinganishe Baba wa Taifa, Nyerere na hicho kituko chako, Msaliti wa Nchi Yetu ya TZ mwambie aende akahutubie Mabwana zake wa Ubelgiji huko.Leo watu watasubiri kwa hamu kama walivyokuwa wanasubiri hotuba za Nyerere.
Wezi na mafisadi lazima mnune, ila hakuna namna atahutubia tu. Subiiri usitoke hapo.Labda anahutubia Taifa la Nyumbu wa Serengeti!!
Mlikubaliana nini na Lissu hadi mkajiapiza akakusaliti?Usimlinganishe Baba wa Taifa, Nyerere na hicho kituko chako, Msaliti wa Nchi Yetu ya TZ mwambie aende akahutubie Mabwana zake wa Ubelgiji huko.
Anatetea ushoga na mabwana zake Wabelgiji.Mlikubaliana nini na Lissu hadi mkajiapiza akakusaliti?
Huyo ameze panadol kavukavu.Kijijini kwake hakuna maji.Wezi na mafisadi lazima mnune, ila hakuna namna atahutubia tu. Subiiri usitoke hapo.
Ushauri: Usikae mbali na panadol pamoja na chupa ya maji.
hii press inasemekana imefadhiliwa na heche na Msigwa 🐒Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
Alimtetea shoga yupi?Anatetea ushoga na mabwana zake Wabelgiji.
Bado hamjasema.hii press inasemekana imefadhiliwa na heche na Msigwa 🐒
Halafu nyuki wenyewe ndiyo wanamuogooa.
Walivyomtwisha risasi ndiyo huruma hiyo?
MBOWE tumbo jotoHabari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
Hata Mbowe alikuwa hivyo, hata Lytonga alikuwa hivyo, hata Maalim alikuwa namna hiyo, wengi walikuwa kama unavyomsoma Lissu leo. Ila kuna namna ccm wanafanya, watakaa madarakani milele kama sio nguvu ya mwananchi, hawa individuals walishashindwa mda sana, hawajaweza kutengeneza mifumo inayoweza kumtoa ccm kwenye power.Huyu ndiye mgombea mwenye nia ,sabb na hoja za kugombea uenyekiti, yule mwingine hana hata hoja moja...anasubiri tu kurubuni wajumbe machawa yake wampigie kura tarehe 21/1.
Ila wanachama wa kawaida kama katiba ingeturuhusu kupiga kura angeambulia kura za aibu mlafi mmoja wa madaraka makengeza!!.
Hawakujua kwamba Mungu haitwi "asumani"?
Mkuu anza kuwaua,ukiilizwa wajibu hupendi wao watetewe kama binadamu wengine.Hutafungwa.Anatetea ushoga na mabwana zake Wabelgiji.
nitachek recorded kwasabb ya majukumu na pilikapilika za leo mwaka mpya,