Jackson QUECA
Senior Member
- Oct 6, 2024
- 105
- 150
Kumbe Jana Kuna kiongozi kahutubia taifa🤔🤔Anahutubia wafuasi wake taifa limehutubiwa trh 31/12/2024!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Jana Kuna kiongozi kahutubia taifa🤔🤔Anahutubia wafuasi wake taifa limehutubiwa trh 31/12/2024!
Sita hii nimetembelea you tube, hakuna live stream yoyote ya hii press?!.Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
Ya mbowe kibaraka wa sa100 ilirushwa live na TBCNatamani ingerushwa live kwenye Main steam
Jambo TV hamna kituMuda ufike tupate madini
View attachment 3189875
Nyerere alikuwa haropoki.Leo watu watasubiri kwa hamu kama walivyokuwa wanasubiri hotuba za Nyerere.
Lissu kajishushia sana heshima yake. Kuongea ongea hovyo hufanya watu wasitamani sana kukusikiliza.Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
Popote ukiiona nakuomba unjulishe kakaSita hii nimetembelea you tube, hakuna live stream yoyote ya hii press?!.
Tunaisubiri kwa hamu
P
Yaani ni mwendo wa ulalo ulalo hadi Sultan Mbowe apate kiharusi safari hiiKujitoa hapana tunaenda nao mpaka mwisho ili kuonyesha madudu yao
Yuko jambo tv liveSita hii nimetembelea you tube, hakuna live stream yoyote ya hii press?!.
Tunaisubiri kwa hamu
P
Wabeligiji wampe nchi ya kuongoza ila sio hii TanzaniaWezi na mafisadi lazima mnune, ila hakuna namna atahutubia tu. Subiiri usitoke hapo.
Ushauri: Usikae mbali na panadol pamoja na chupa ya maji.
Dakika za lala salama Sultan mbowe anaweka mpira kwapani na kukwapua kombe toka meza kuu halafu nduukii🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Yaani ni mwendo wa ulalo ulalo hadi Sultan Mbowe apate kiharusi safari hii
Asante sana.Yuko jambo tv live
Mbona aliyehutubia taifa la nyumbu anafahamika! Ni yule wa jana saa 3 usiku.Labda anahutubia Taifa la Nyumbu wa Serengeti!!
Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
Yaani sasa hata kufurahia mwaka nao wanataka watunyime tukasikilize minyukano yao kweli? Wanasiasa watu wa ajabu na wabinafsi sanaHabari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.