Hii ni kesi ila mtapinga kama hamzijui terms and conditions, hivi unadhani ingekuwa rahisi kutoa taarifa za watu hovyo hovyo watu wangeikimbilia hiyo mitandao?
 
Unajifanya hujui hizo taarifa walizifanyia nini, kwa hiyo unataka kutuambia serikali inaweza kuomba taarifa ili iue mtu.
 
Hii ni kesi ila mtapinga kama hamzijui terms and conditions, hivi unadhani ingekuwa rahisi kutoa taarifa za watu hovyo hovyo watu wangeikimbilia hiyo mitandao?
watu wagumu mno kuelewa nyinyi wapi nimepinga kuwa hakuna kesi..?
haijalishi kuwe kunakesi ama hakuna kesi serikali ikitaka taarifa itatumia gharama yoyote kuipata!. andiko langu ndo limetuhama hapo sasa maswala ya kesi mi sijui.
 
Wangeruhusu maandamano na kupunguza vijembe kejeli dharau na kebehi haya yasingewakuta
 
Wangeruhusu maandamano na kupunguza vijembe kejeli dharau na kebehi haya yasingewakuta
 
watu wagumu mno kuelewa nyinyi wapi nimepinga kuwa hakuna kesi..?
haijalishi kuwe kunakesi ama hakuna kesi serikali ikitaka taarifa itatumia gharama yoyote kuipata!. andiko langu ndo limetuhama hapo sasa maswala ya kesi mi sijui.
Hata kwa lengo hilo la kuua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…