Tetesi: Tundu Lissu kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kupeperusha bendera ya CHADEMA

Balozi was mashoga!
 
Huu ndiyo mfano wa wenye matokeo ya division four za 45...
Lissu alichokuwa anafanya mwenye akili hawezi kubeza,Lissu alitaka Kama nchi kufumua na kuziba misingi ya watu kujiamulia kuuza rasirimali zetu kiholela!
 
Alikuwa anajaziwa dola benki ili kuwatetea Mabeberu watuibie madini
Huu ndiyo mfano wa wenye matokeo ya division four za 45...
Lissu alichokuwa anafanya mwenye akili hawezi kubeza,Lissu alitaka Kama nchi kufumua na kuziba misingi ya watu kujiamulia kuuza rasirimali zetu kiholela!
 
Sawa mchepuko wake Lissu tumesikia!
 
Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote

Mkuu sijaona shida kwenye taarifa hii ya mtoa mada! Otherwise kuna shida kati yenu
 
Member naye anachukua fomu ..mtake msitake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…