Tetesi: Tundu Lissu kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kupeperusha bendera ya CHADEMA

Tetesi: Tundu Lissu kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kupeperusha bendera ya CHADEMA

Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
A Pablo Picasso drawing of the SCENARIO! 😅🤡
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu.

Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi.

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA.

Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia.

Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano.

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri.
Nilishasema Lissu hamna kitu hapo. Katiba aliyoshupalia kuitunga ndiyo inamkatalia kuendelea na mchakato wakati mkuu wake kaishalidhia kuchukua fomu. Shida ipo hapo. ushauri kwa LISU, jitoe ili utunze heshima yako
 
Da jtatu ndugu yetu na mwanachama wa mda mrefu anachukua form hapo makao makuu ,anasema ataenda na bajaji na hataki vyombo vya habari ngoma kimia kimia sasa tafadhali katibu mkuu jtatu mpokee na mpe stahiki zake kama mtia nia .asante sana dr bashiru.

Achapishe ya kwake, kwa bashiru hatafika maana ataulizwa nilikuita ukagoma, sasa nenda usubili wito wa pili.
 
Hawa watatuuza kwa Mabeberu tuwaogope
Hawa wazungu ndio watakaoviua vyama vya upinzani, ahadi yao ya kutoa pesa kwa Chadema kwa ajili ya uchanguzi inaleta mtafaruku ndani ya chama, kwa sasa kila mtu anataka awe mgombea ili aje afaidi hilo fungu litakalotolewa na mabeberu. Tutaona kila aina ya sarakasi ndani ya Chadema.
 
Yule ni kichwa maji
Nilishasema Lissu hamna kitu hapo. Katiba aliyoshupalia kuitunga ndiyo inamkatalia kuendelea na mchakato wakati mkuu wake kaishalidhia kuchukua fomu. Shida ipo hapo. ushauri kwa LISU, jitoe ili utunze heshima yako
 
Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote
Jiandae kuimba pambio la Lissu Msaliti naweka utabiri wangu hapa
 
Kuna watu mtakuja kuvishwa KHANGA.
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu.

Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi.

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA.

Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia.

Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano.

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri.
 
Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote

Bounty hunters wanajua unono wa donge.... muujiza utendeke ageuke kua FISI
 
Mbowe k-vant hajawai simamia jambo na likawa.anafanya mambo yake hovyo hovyo tu.
kikubwa muheshimiwa Lissu aombe radhi watanzania arudi nyumbani kumenoga aachane na siasa za kihuni za Mbowe.
kwanza Lissu anafaa kuwa balozi wa Tanzania nchini ubelgiji.Inshallah.
Aombe radhi kwa kosa gani alilofanya
 
CDM ni lazima waumiliki mchakato wa kidemokrasia ili kumpata mperusha bendera ktk nafasi ya uraisi, kwa kuwa wanachama wote 11 waliojitokeza wana haki kikatiba. Wote Nyalandu, Mbowe, Lissu na wengineo waliobakia wana haki sawasawa, na hakuna aliye juu ya wenzake.

Ni jukumu la Kamati Kuu ya CDM kuendesha mchakato huu kwa haki pasipo kuangalia majina na hadhi ya mtia nia. Pia ni lazima watambue madhara hasi yaliyotokana na mchakato wa kumpata Mwenyekiti Taifa wa chama chao, hali iliyopelekea kukimomonyoa kwa kiasi kikubwa.

Nafiri pengine Mbowe kachukua fomu kama njia ya kukabiliana na "calculated & manipulated risks" endapo kutatokea pandikizi kuvuruga mchakato huu muhimu ktk chama chao. Watia nia wote waliojitokeza ni lazima wakubaliane na "technical reasons" zitakazopelekea kuwaengua 10 miongoni mwao, na hatimaye akatokea mteule mmoja kati yao kupitia vigezo vya kikatiba vya chama chao.
 
Kawe Alumni niaje boss...hauna buku hapo?
 
Ccm wanamtamani sana lissu japo ndo waliochangia yeye achabangwe risasi
 
Back
Top Bottom