Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
- #41
Siasa za Chadema ni pasua kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu!! 😂😂Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
wewe ni kilaza mwenye utapiamlo wa kichwaniWakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu.
Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi.
Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA.
Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia.
Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano.
Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri.
Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote
Ayakuhusu malaya malaya wa Lumumba.Kwa ushauri tindi lissu asingemuogopa Mbowe angepambana naye tu anaweza kushinda
Huyu Lisu akili yake fupi. Alipohutubia taifa kama anavyodai sisi wengine tulijua tayari ameshachaguliwa na chadema pengine na ukawa kumbe alikuwa tu kachukua fomu. Kama ana akili timamu kwanza angewasiliana na Mwenyekiti wake na kumuuliza kama nae anataka kugombea nafasi ya rais jibu ambalo angepata toka kwa mwenyekiti ndilo angetumia kufanya maamuzi. Huyu mtu ana tamaa kubwa sana kuchukua fomu tu na kuwahutubia Wananchi tena kutoka makao makuu BelgiumIwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
Ndio dikteta wenu amewatuma hayo? Unahangaika sana wewe kutetea tumbo lako kupitia siasa, Siasa sio ajira, ni itikadi sasa wewe unafanya siasa za kutumwa na madikteta achana na utumwa.Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu.
Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi.
Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA.
Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia.
Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano.
Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri.
Bado mnaimba ule wimbo wa .... Lissu rais, rais, rais rais au mmebadili gia Sasa mnaimba..... Mbowe said, rais, rais!Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote
Wewe CCM gani unahamasisha ushoga.? Abaki hukohuko kwa wanaooana wenyewe kwa wenyewe.Mbowe k-vant hajawai simamia jambo na likawa.anafanya mambo yake hovyo hovyo tu.
kikubwa muheshimiwa Lissu aombe radhi watanzania arudi nyumbani kumenoga aachane na siasa za kihuni za Mbowe.
kwanza Lissu anafaa kuwa balozi wa Tanzania nchini ubelgiji.Inshallah.
Ndo maana nikasema aombe radhi.Wewe CCM gani unahamasisha ushoga.? Abaki hukohuko kwa wanaooana wenyewe kwa wenyewe.
hujui kituBado mnaimba ule wimbo wa .... Lissu rais, rais, rais rais au mmebadili gia Sasa mnaimba..... Mbowe said, rais, rais!
Naona makamanda mmechanganyikiwa hamjui muimbe Nani rais.
Ndio dikteta wenu amewatuma hayo? Unahangaika sana wewe kutetea tumbo lako kupitia siasa, Siasa sio ajira, ni itikadi sasa wewe unafanya siasa za kutumwa na madikteta achana na utumwa.
Ayakuhusu malaya malaya wa Lumumba.
Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
wewe ni kilaza mwenye utapiamlo wa kichwani
Mi nadhani mleta mada mambo sio shwari tumboni mwako!!una mimba ya miezi mingapi mku???!!
Ndani ya chadema kila mtu ni kambare