Tetesi: Tundu Lissu kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kupeperusha bendera ya CHADEMA

Tetesi: Tundu Lissu kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kupeperusha bendera ya CHADEMA

Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
Duu!! 😂😂
 
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu.

Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi.

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA.

Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia.

Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano.

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri.
wewe ni kilaza mwenye utapiamlo wa kichwani
 
Wajinga na vipofu wa kisiasa mko wengi kweli kweli,kwa mfano mtu anaye amini upinzani hapa nchini huyo anakua ni mtu kipofu asiye ona
Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote
 
Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
Huyu Lisu akili yake fupi. Alipohutubia taifa kama anavyodai sisi wengine tulijua tayari ameshachaguliwa na chadema pengine na ukawa kumbe alikuwa tu kachukua fomu. Kama ana akili timamu kwanza angewasiliana na Mwenyekiti wake na kumuuliza kama nae anataka kugombea nafasi ya rais jibu ambalo angepata toka kwa mwenyekiti ndilo angetumia kufanya maamuzi. Huyu mtu ana tamaa kubwa sana kuchukua fomu tu na kuwahutubia Wananchi tena kutoka makao makuu Belgium
 
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu.

Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi.

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA.

Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia.

Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano.

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri.
Ndio dikteta wenu amewatuma hayo? Unahangaika sana wewe kutetea tumbo lako kupitia siasa, Siasa sio ajira, ni itikadi sasa wewe unafanya siasa za kutumwa na madikteta achana na utumwa.
 
Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote
Bado mnaimba ule wimbo wa .... Lissu rais, rais, rais rais au mmebadili gia Sasa mnaimba..... Mbowe said, rais, rais!
Naona makamanda mmechanganyikiwa hamjui muimbe Nani rais.
 
Mbowe k-vant hajawai simamia jambo na likawa.anafanya mambo yake hovyo hovyo tu.
kikubwa muheshimiwa Lissu aombe radhi watanzania arudi nyumbani kumenoga aachane na siasa za kihuni za Mbowe.
kwanza Lissu anafaa kuwa balozi wa Tanzania nchini ubelgiji.Inshallah.
Wewe CCM gani unahamasisha ushoga.? Abaki hukohuko kwa wanaooana wenyewe kwa wenyewe.
 
Sujatumwa
Ndio dikteta wenu amewatuma hayo? Unahangaika sana wewe kutetea tumbo lako kupitia siasa, Siasa sio ajira, ni itikadi sasa wewe unafanya siasa za kutumwa na madikteta achana na utumwa.
 
Mkufafanuwa vzur mbow ashinde nini
Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
 
Hawa wazungu ndio watakaoviua vyama vya upinzani, ahadi yao ya kutoa pesa kwa Chadema kwa ajili ya uchanguzi inaleta mtafaruku ndani ya chama, kwa sasa kila mtu anataka awe mgombea ili aje afaidi hilo fungu litakalotolewa na mabeberu. Tutaona kila aina ya sarakasi ndani ya Chadema.
 
Back
Top Bottom