the truecaller
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 809
- 940
Huu wimbo wa buku 7 mmeuimba sana miaka 15 sasa tangu enzi za JK hivi hamuoni kama mlikaririshwa uongo wa mchana kweupe?Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote