Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Status
Not open for further replies.
Mkuu hivi utajisikiaje kesho au kesho kutwa au wiki zijazo ukasikia Lisu yupo ACT? kwamba umesahau kabisa ya Lowasa? Hivi nyie watu wa chadema akili zenu mlikabidhi kwa mbowe jumla Jumla?

Kwanini huwa hamtafakari Lakin?
Ukiishi kwa assumption namna hiyo basi waweza kuweka akilini kuwa Siku moja Jiwe anaweza kuomba msamaha hadharani kuwa alituma watu wamuue Lissu.
 
Tetesi ndio kisingizio cha kutunga uongo na uzushi humu jf, Tundu Lissu hawezi kujiunga ACT kwa sababu ndani ya Chadema,
Lissu ni fahali, na ndani ya ACT Zitto ni fahali, mafahali wawili hawawezi kukaa zizi moja.

Kuunga kwangu mkono sio kukubali tetesi hizi bali ni kumkubali mtoa mada. Mimi namkubali sana Kaka Wakudadavua na ninaamini kila asemacho.
P
Nimekuelewa mkuu Pascal Mayalla
 
Ukiishi kwa assumption namna hiyo basi waweza kuweka akilini kuwa Siku moja Jiwe anaweza kuomba msamaha hadharani kuwa alituma watu wamuue Lissu.
Aisee kila nikikumbuka ulivyozungusha mikono kumshangilia Lowassa huku ukitamba na jina la "ulofa na pumbavu" nacheka sana
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.

Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.

P
Mkuu naomba nikuulize kwa mara nyingine tena
Lissu alikukosea nini?

Unakosa utu na huruma kwa huyu mtu kweli?!
Tuweke mbali siasa maana wanasiasa wanajijua wenyewe lakini ule ubinadamu tu huguswi katika moyo wako na kuona Lissu anahitaji huruma na upendo kuliko kumkebehi
Hii dunia inazunguka wandugu tusishangilie magumu ya wenzetu kesho yataweza kukufika

Unaamini hizi porojo
 
Acacia wamesimamia na kufadhili vikao vya Kuwaunganisha Zitto na Lissu

Lissu, Zitto, Jussa, Seif Sharif, Nyalandu ni Muungano hatare kwa Maslah ya Taifa na Chama uangaliwe kwa macho makini

Dola isimame na Chadema dhidi ya ACT

ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
Wafadhiliwe na ACACIA kwa maslahi ya taifa???
Bepari huwa hatoi hela isiyorudi
 
Mkuu naomba nikuulize kwa mara nyingine tena
Lissu alikukosea nini?

Unakosa utu na huruma kwa huyu mtu kweli?!
Tuweke mbali siasa maana wanasiasa wanajijua wenyewe lakini ule ubinadamu tu huguswi katika moyo wako na kuona Lissu anahitaji huruma na upendo kuliko kumkebehi
Hii dunia inazunguka wandugu tusishangilie magumu ya wenzetu kesho yataweza kukufika

Unaamini hizi porojo
Hili limetokea wapi?, mimi kumuunga mkono Kaka Wakudadavua ndio ipelekee wewe kuniuliza mimi Lissu amenikosea nini?!. Wapi nimekebehi?!
Please!.
P
 
Hiyo ni habari njema. Kwanza ni vyema Lissu akajificha (stay low) akiwa ACT kuliko kurudi M4C. Lakini pia ACT ni chama rafiki (necessary evil) ukilinganisha na Chadema. Hapo anaweza kurudi nchini afanye siasa hadi 2025 atakapokuwa na nafasi ya kushindania Urais (nasema hivi kwavile 2020 akigombea itakuwa ni kupiga jalamba tu).
 
Mkuu naomba nikuulize kwa mara nyingine tena
Lissu alikukosea nini?

Unakosa utu na huruma kwa huyu mtu kweli?!
Tuweke mbali siasa maana wanasiasa wanajijua wenyewe lakini ule ubinadamu tu huguswi katika moyo wako na kuona Lissu anahitaji huruma na upendo kuliko kumkebehi
Hii dunia inazunguka wandugu tusishangilie magumu ya wenzetu kesho yataweza kukufika

Unaamini hizi porojo
Sio vyema wala busara kuwapangia watu hisia ili walingane na wewe, hasa kwenye siasa. Binadamu tuko tofauti kiasili.
 
Kwa post hii na comments hizi ni dhahiri kwa mtu mwenye upeo atajua tu hawa ni wataalam wa kubadili mawazo ya watu watawapata wachache
 
Tetesi ndio kisingizio cha kutunga uongo na uzushi humu jf, Tundu Lissu hawezi kujiunga ACT kwa sababu ndani ya Chadema,
Lissu ni fahali, na ndani ya ACT Zitto ni fahali, mafahali wawili hawawezi kukaa zizi moja.

Kuunga kwangu mkono sio kukubali tetesi hizi bali ni kumkubali mtoa mada. Mimi namkubali sana Kaka Wakudadavua na ninaamini kila asemacho.
P
Hahahhh Paskali buana mbona hapa umemuita Kaka naniliii
Amekupa jinsia Yake!

Hapo juu umeandika ukweli nakubaliana na wewe
 
Hahahhh Paskali buana mbona hapa umemuita Kaka naniliii
Amekupa jinsia Yake!

Hapo juu umeandika ukweli nakubaliana na wewe
Kuna wanawake wengi they don’t appreciate been born feminine, they wish they should have been born males, therefore they despise feminism, and when they have a chances like Jf pen names, wanajitambulisha as boys, most of them are the tomboys. Hivyo ukikutana na mdada anayejitambulisha kuwa ni mkaka, grant her wish kama Kaka Wakudadavua.
P
 
Mnapika tetesi, CDM bado imara.
Sina imani na Zito kwenye oppsn naona kama moore ya MaCCM.
Makamanda tumia akili hekima na busara huyo ni Mrema No2.
Dr Kitilya ni katibu mkuu Maji, Shonza waziri nk wote wadau wa Zito. Simuamini kama mpinzani wa kweli!!
Anatumika kudhoofisha CDM niamini!!
 
Ndugu zangu,

Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.

Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.

Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.

Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Hivi mbowe slirnda lini ubelgij
 
Mnapika tetesi, CDM bado imara.
Sina imani na Zito kwenye oppsn naona kama moore ya MaCCM.
Makamanda tumia akili hekima na busara huyo ni Mrema No2.
Dr Kitilya ni katibu mkuu Maji, Shonza waziri nk wote wadau wa Zito. Simuamini kama mpinzani wa kweli!!
Anatumika kudhoofisha CDM niamini!!
Muda utaongea
 
Mnapika tetesi, CDM bado imara.
Sina imani na Zito kwenye oppsn naona kama moore ya MaCCM.
Makamanda tumia akili hekima na busara huyo ni Mrema No2.
Dr Kitilya ni katibu mkuu Maji, Shonza waziri nk wote wadau wa Zito. Simuamini kama mpinzani wa kweli!!
Anatumika kudhoofisha CDM niamini!!
Haya sasa
FB_IMG_15680947916623804.jpeg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom