Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Status
Not open for further replies.
Kuna wanawake wengi they don’t appreciate been born feminine, they wish they should have been born males, therefore they despise feminism, and when they have a chances like Jf pen names, wanajitambulisha as boys, most of them are the tomboys. Hivyo ukikutana na mdada anayejitambulisha kuwa ni mkaka, grant her wish kama Kaka Wakudadavua.
P
Kumekucha
FB_IMG_15680947916623804.jpeg
 
Tetesi ndio kisingizio cha kutunga uongo na uzushi humu jf, Tundu Lissu hawezi kujiunga ACT kwa sababu ndani ya Chadema,
Lissu ni fahali, na ndani ya ACT Zitto ni fahali, mafahali wawili hawawezi kukaa zizi moja.

Kuunga kwangu mkono sio kukubali tetesi hizi bali ni kumkubali mtoa mada. Mimi namkubali sana Kaka Wakudadavua na ninaamini kila asemacho.
P
Ni muda tu
FB_IMG_15680947916623804.jpeg
 
Ndugu zangu,

Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.

Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.

Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.

Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.

Si lazima ataka kama huna cha kuandika alimradi tu uandike
 
Acacia wamesimamia na kufadhili vikao vya Kuwaunganisha Zitto na Lissu

Lissu, Zitto, Jussa, Seif Sharif, Nyalandu ni Muungano hatare kwa Maslah ya Taifa na Chama uangaliwe kwa macho makini

Dola isimame na Chadema dhidi ya ACT

ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
ivi wale accasia walishatulipa kile kifungua uchumba cha makinikia? ujinga ni mzigo mkubwa sana kwa taifa hili.
waliopitisha mikataba kwa kukatika mauno pale bungeni ni wabunge wa ccm leo unawataja kina lisu ambao walikuwa wanapiga makelele wakati huyo mnaemuita MZALENDO alikuwa bungeni? alipinga kwanini.
CCM NDIYO WABAYA WA NCHI HII
 
ivi wale accasia walishatulipa kile kifungua uchumba cha makinikia? ujinga ni mzigo mkubwa sana kwa taifa hili.
waliopitisha mikataba kwa kukatika mauno pale bungeni ni wabunge wa ccm leo unawataja kina lisu ambao walikuwa wanapiga makelele wakati huyo mnaemuita MZALENDO alikuwa bungeni? alipinga kwanini.
CCM NDIYO WABAYA WA NCHI HII
Muulize Tundu ndio wafadhili wake
 
ivi wale accasia walishatulipa kile kifungua uchumba cha makinikia? ujinga ni mzigo mkubwa sana kwa taifa hili.
waliopitisha mikataba kwa kukatika mauno pale bungeni ni wabunge wa ccm leo unawataja kina lisu ambao walikuwa wanapiga makelele wakati huyo mnaemuita MZALENDO alikuwa bungeni? alipinga kwanini.
CCM NDIYO WABAYA WA NCHI HII

Mbona hushangai waliemuweka Ngoyai kwny orodha ya Mafisadi Papa ndio hao hao walimpa nafasi ya kuwania Urais?
 
Ndugu zangu,

Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.

Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.

Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.

Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Kwahiyo nawe utamfuata mmeo huko au utabakia na mchepuku huko lumumba?
 
Ndugu zangu,

Hali ilipofika sasa lolote laweza kutokea, nilishawahi kusema siasa ni fursa sasa ndicho kinachoenda kudhihirika. Pamoja na kuzawadiwa umakamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu anaendelea na mazungumzo na Ndugu Zitto Kabwe ili kuona namna watakavyoshirikiana cha kushangaza mazungumzo haya hayahusishi Chadema bali ni Tundu Lissu mwenyewe.

Habari za ndani ni kuwa mazungumzo hayo yamefikia pazuri na sasa inasubiriwa uchaguzi ndani ya ACT ukamilike ili kukamilisha baadhi ya taratibu muhimu. Imevuja kuwa Zitto Kabwe aliongeza siku kumi nchini Marekani ili kumalizia kusuka mipango ya ushirikiano wao. Ikumbukwe miezi michache iliyopita Chadema walilazimika kumshambulia Zitto Kambwe mitandani baada ya safari za ubelgiji kuzidi huku akiachia picha akiwa na Lissu kwenye mitandao ya kijamii jambo lililomfanya Mbowe kumpatia Lissu Uenyekiti.

Ni suala la muda tu uzi huu hapa chini unaonesha unathibitisha kuwa yanatimia kwa Nondo sasa kuula (uenyekiti wa vijana) tusubiri la Lissu.

https://www.jamiiforums.com/threads...zalendo-abdul-nondo-naye-kuula.1626440/page-2
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom