Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #201
KumekuchaKuna wanawake wengi they don’t appreciate been born feminine, they wish they should have been born males, therefore they despise feminism, and when they have a chances like Jf pen names, wanajitambulisha as boys, most of them are the tomboys. Hivyo ukikutana na mdada anayejitambulisha kuwa ni mkaka, grant her wish kama Kaka Wakudadavua.
P
Ni muda tuTetesi ndio kisingizio cha kutunga uongo na uzushi humu jf, Tundu Lissu hawezi kujiunga ACT kwa sababu ndani ya Chadema,
Lissu ni fahali, na ndani ya ACT Zitto ni fahali, mafahali wawili hawawezi kukaa zizi moja.
Kuunga kwangu mkono sio kukubali tetesi hizi bali ni kumkubali mtoa mada. Mimi namkubali sana Kaka Wakudadavua na ninaamini kila asemacho.
P
Zitto hapa a najaribu kusema wapinzani wa kweli nchi hii ni yeye na Lisu tu basiNi muda tuView attachment 1203334
Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
NaamZitto hapa a najaribu kusema wapinzani wa kweli nchi hii ni yeye na Lisu tu basi
Lowassa haikumkumba maana ilisainiwa siku moja baada ya Maalim Seif kujiunga ACT- W.Imeanza lini hiyo sheria?
Lowasa haikumkumba eeeh?
MhhLowassa haikumkumba maana ilisainiwa siku moja baada ya Maalim Seif kujiunga ACT- W.
ivi wale accasia walishatulipa kile kifungua uchumba cha makinikia? ujinga ni mzigo mkubwa sana kwa taifa hili.Acacia wamesimamia na kufadhili vikao vya Kuwaunganisha Zitto na Lissu
Lissu, Zitto, Jussa, Seif Sharif, Nyalandu ni Muungano hatare kwa Maslah ya Taifa na Chama uangaliwe kwa macho makini
Dola isimame na Chadema dhidi ya ACT
ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
Muulize Tundu ndio wafadhili wakeivi wale accasia walishatulipa kile kifungua uchumba cha makinikia? ujinga ni mzigo mkubwa sana kwa taifa hili.
waliopitisha mikataba kwa kukatika mauno pale bungeni ni wabunge wa ccm leo unawataja kina lisu ambao walikuwa wanapiga makelele wakati huyo mnaemuita MZALENDO alikuwa bungeni? alipinga kwanini.
CCM NDIYO WABAYA WA NCHI HII
ivi wale accasia walishatulipa kile kifungua uchumba cha makinikia? ujinga ni mzigo mkubwa sana kwa taifa hili.
waliopitisha mikataba kwa kukatika mauno pale bungeni ni wabunge wa ccm leo unawataja kina lisu ambao walikuwa wanapiga makelele wakati huyo mnaemuita MZALENDO alikuwa bungeni? alipinga kwanini.
CCM NDIYO WABAYA WA NCHI HII
Swali makini sanaMbona hushangai waliemuweka Ngoyai kwny orodha ya Mafisadi Papa ndio hao hao walimpa nafasi ya kuwania Urais?
Hatari sanaNamuona Chakaza, salary slip na wengine akiwa kwenye tisheti ya zambarau...ha ha haaa!
ha ha ha dogo poleKama ni kuandika tu, nami naandika. MAGUFULI RASIMI CUF.
Kwahiyo nawe utamfuata mmeo huko au utabakia na mchepuku huko lumumba?Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.