Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kukosa pesa ya kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kukosa pesa ya kampeni

Umechanganya mambo mengi, mara ruzuku ,michango ya wabunge na Mwenyekiti Mbowe kugoma kutoa fedha mara eti amejitenga na uchaguzi.Binafsi sijaelewa nini ni nini!

Dadavua kwa undani zaidi tukuelewe.
 
Ndio maana mnaopigana mitama kwa akili zenu za kijinga sasa akikosa hela ya kampeni wewe unakuhusu non endeleeni kupigana mitama.
 
usikonde kama kawaida yetu tupo wananchi tutachanga nyie mwambieni Magufuli na mwanawe Dotto wakaushe hazina ya Taifa
 
Rebeka 1,

CCM bana akili ze hazijai hata kwenye kisoda,

Chadema Ina wanachama 10,000,000 na washabiki wasiopungua 5,000,000 Kila mtu akichanga Sh 1000 tu watapata sh ngapi?

Nguvu ya Chadema Ni wanachama na wananchi wazalendo.
 
Pole sana Lissu. Hukujua tu, kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya mafanikio ya kisiasa na ukwasi. Ilipaswa upime kabla kama wewe hauna pesa basi taasisi inayokudhamini iwe na pesa ila kama nyote hamna pesa basi tukushukuru tu kwa kushiriki na kuchangamsha genge. Achana na haya mambo jipange next time.
 
Jana nilisoma uzi mmoja , inasemekana Tundu Lissu alipewa pesa nyingi mno na mabeberu ndiyo maana kawa msaliti, cha ajbu leo tuna ambiwa hana fedha za uchaguzi.

Ukisoma kwa umakini kuna msisitizo wa ruzuku imekwenda wapi, hii ni kurudisha mjadala ambao ulisha zungumzwa hapa labda takukuru waseme. CAG hakuona tatizo la ruzuku.

Nina imani watanzania wenye imani na Tundu Lissu na CDM watakuwa tayari kuchanga ikibidi ni wao CDM waseme tu(sidhani kama sheria za uchaguzi zinakataza hili).

Kwa sisi tunaotaka upinzani wenye nguvu ambao unaweza kuchukua serikali hatuoni nini kinashindikana na bado sijaona kwenye uraisi nani yuko vizuri kama TL.
 
Umechanganya mambo mengi, mara ruzuku ,michango ya wabunge na Mwenyekiti Mbowe kugoma kutoa fedha mara eti amejitenga na uchaguzi.Binafsi sijaelewa nini ni nini!

Dadavua kwa undani zaidi tukuelewe.
Nia yake ni kutaka kuwakatisha tamaa wale wanaotegemea kampeni kabambe kutoka kwa mhashimiwa Lissu, wanataka upinzani uje na mgombea tofauti au ukate tamaa. Tutaona na kusikia mengi miezi hii miwili na nusu ijayo.
 
Kuna mdau akileta uzi humu jana kwamba Mbowe safari hii hana furaha na confidence kabisa kama kipindi kile amempokea EL!

Huenda sababu mojawapo inayompa stress Mbowe ni hela za kampeni!

Na Nyarandu sidhani kama atakubali kutoa hela zake za wizi wa twiga ili zimkampenie Lisu.
 
Okey

Ule utaratibu mpya uliyotolewa na BOT wa ubadilishaji pesa za kigeni ndiyo unaosababisha hilo tatizo la ukosefu wa pesa ndani ya chadema!!
Kwamba chadema walikuwa wanategemea fedha kutoka nje ya nchi?
 
Umechanganya mambo mengi, mara ruzuku ,michango ya wabunge na Mwenyekiti Mbowe kugoma kutoa fedha mara eti amejitenga na uchaguzi.Binafsi sijaelewa nini ni nini!!.

Dadavua kwa undani zaidi tukuelewe.
Ngoja takukuru wamalize uchunguzi wa bil 8.9 alizotia ndani mwenyekiti utaelewa tuu.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Lisu pesa za kampeni Hana Sio Siri,

Mbowe asilaumiwe Ruzuku haipo Tena chache zilizobaki Ni kwa ajili ya kulipa wafanyakazi wa Chadema Kama maofisi, madereva, gharama za ofisi nk.

Tulisema humu toka mwanzo kuwa Chadema watajuta mbele ya Safari kumteua mgombea Maskini

Chama kingekuwa kina pesa haina shida. Lakini chama pesa hakina Halafu kinateua mgombea masikini asiye na pesa

Hawakuwa maamuzi sahihi .Sasa Kama pumzi ya pesa imekata kwenye kutafuta wadhamini tu ikifika kampeni si itakuwa hatari
Kwani ? Magu pesa za campaign atazipata wapi?
 
Pole sana Lissu. Hukujua tu, kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya mafanikio ya kisiasa na ukwasi. Ilipaswa upime kabla kama wewe hauna pesa basi taasisi inayokudhamini iwe na pesa ila kama nyote hamna pesa basi tukushukuru tu kwa kushiriki na kuchangamsha genge. Achana na haya mambo jipange next time
Kutoka CDM 'imekufa'mpaka Haina pesa
 
Rebeka 1,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona mapimbi ya lumumba yanataka kujua lissu yuko wp na anafanya niin, kwa taarifa yako tu leo Lissu yuko iringaaaaa anaendelea na usakaji wa wadhamini, pesa ipo na ndo maana tumenunua gari 25 za kampeini Sasa tunashindwaje kampeni?
 
Lisu pesa za kampeni Hana Sio Siri,

Mbowe asilaumiwe Ruzuku haipo Tena chache zilizobaki Ni kwa ajili ya kulipa wafanyakazi wa Chadema Kama maofisi, madereva, gharama za ofisi nk.

Tulisema humu toka mwanzo kuwa Chadema watajuta mbele ya Safari kumteua mgombea Maskini

Chama kingekuwa kina pesa haina shida. Lakini chama pesa hakina Halafu kinateua mgombea masikini asiye na pesa

Hawakuwa maamuzi sahihi .Sasa Kama pumzi ya pesa imekata kwenye kutafuta wadhamini tu ikifika kampeni si itakuwa hatari

Sema matamanio yako ni cdm ikose hela za kampeni ili Magufuli asipate mshindani. Tunataka mwanasiasa tunayemkubali na tutamchangia, hatuna muda wa kufanya kampeni za kujaza wasanii, maana hatuna uwezo wa kutishia wafanyabishara watupe hela, wala hatuna binamu huko hazina wa kutuchotea pesa za hazina. Tungetaka tajiri wa kutuongoza tungeenda kumuomba Bakhressa awe mgombea wetu. Hao matajiri watumieni nyie wanaccm ndio mna uhaba wa wapiga kura. Bora Lisu ashindwe kufanya kampeni kwa kukosa pesa, kuliko tajiri atakayeweza kufanya kampeni lakini pandikizi la ccm kama mamvi. Ukiwa na watu hata bila shilingi moja unafanya kweli.
 
Back
Top Bottom