Sema hamjui.. Mwaka huu CCM itahsinda .. Mwaka 2025 inaleta mtu wa aina mnayotaka.
2015 mlitaka Rais Mkali.. Sasa mnataka Rais Mpenda watu..CCM inahazina kubwa. January ataingia kwenye ulingo 2025 na agenda yenu itabadilika kabisa.
Poleeeee na hongera kwa kuingiza bk7 leo wanao wataenda chooHarariiii,wauze ofisi za ufipa
Usipite basi kwenye izo fly over kama zinakuuma sana.Mbona unahangaika?
Nyie si mmejenga Flyover,sgr,stiglers gorge,
Lakini mkasahau Kuajiri vizuri wasomi,hali ya uchumi,mkasahau kuongeza mshahara,mkatunga sheria .
Ataenguliwa kwa sababu hajajiandikisha kuwa mpige kuraWamuengue kwa sababu ipi? Au uoga wa kushindwa?
Kushukuru kitu gani?Usipite basi kwenye izo fly over kama zinakuuma sana.
Watu gani amna shukrani nyinyi.kila jambo jema la nchi yetu mnabeza.
Unaota auAtaenguliwa kwa sababu hajajiandikisha kuwa mpige kura
Ndiyo ujuwe kuwa sasa hivi hali ndani ya ccm ni tete sana, wanamuogopa sana mh Lissu.Ukisoma post za wana CCM hadi Huruma, Tundu Lissu akiishiwa pesa au hana hela za kampeni mna weweseka?
Kwenye fly over tutapita na ndege tutazipanda na kuwakosoa hatutaacha.Usipite basi kwenye izo fly over kama zinakuuma sana.
Watu gani amna shukrani nyinyi.kila jambo jema la nchi yetu mnabeza.
Ukiona hivyo ujue hali ya amani ndani ya lumumba ni tiamaji tiamaji, watu hawana imani tena na mbinu za jiwe kujidai amesha umaliza upinzaniWewe inakuuma nini?
Hapo alipo ishia ndiyo mwisho wa akili yake.Umechanganya mambo mengi, mara ruzuku ,michango ya wabunge na Mwenyekiti Mbowe kugoma kutoa fedha mara eti amejitenga na uchaguzi.Binafsi sijaelewa nini ni nini!!.
Dadavua kwa undani zaidi tukuelewe.
Ukisema ukweli unaitwa mchochezi na umetumiwa na mabeberuNyie ukweli mnaupenda?
Hiyo inawezekana ikawa ni mojawapo ya ilani ya chama chaoNdio maana mnaopigana mitama kwa akili zenu za kijinga sasa akikosa hela ya kampen wewe unakuhusu non endeleeni kupigana mitama
Na mlivyo wajinga mkapiga risasi maskini mkazuia maskini kuombewa.mlichoshindwa ni kumzuia MUNGU asiponye masikini yule mliopanga kumuuwa. Leo masikini anatembea akimtukuza MUNGU mbele ya macho yenu Wauwaji.mioyo inawauma sana MUNGU kawakera sana kumponya Masikini LISULisu pesa za kampeni Hana Sio Siri,
Mbowe asilaumiwe Ruzuku haipo Tena chache zilizobaki Ni kwa ajili ya kulipa wafanyakazi wa Chadema Kama maofisi, madereva, gharama za ofisi nk.
Tulisema humu toka mwanzo kuwa Chadema watajuta mbele ya Safari kumteua mgombea Maskini
Chama kingekuwa kina pesa haina shida. Lakini chama pesa hakina Halafu kinateua mgombea masikini asiye na pesa
Hawakuwa maamuzi sahihi .Sasa Kama pumzi ya pesa imekata kwenye kutafuta wadhamini tu ikifika kampeni si itakuwa hatari
Lisu hana hela za kampeni! FullstopNa mlivyo wajinga mkapiga risasi maskini mkazuia maskini kuombewa.mlichoshindwa ni kumzuia MUNGU asiponye masikini yule mliopanga kumuuwa. Leo masikini anatembea akimtukuza MUNGU mbele ya macho yenu Wauwaji.mioyo inawauma sana MUNGU kawakera sana kumponya Masikini LISU