Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

Mpina na Lisu kiboko Sbdul na Mamiii yake......kumekucha.....
 
Nenda mahakamani, kutaja tu haitoshi wala haitishi.
 
Debe tupu.
Muda utaongea.....kuna siku system itaamka....wanaona wanajizima data tu
...ile topic ngumu kwenye mafunzo ni ya uzalendo kwa nchi yako.....ikiwa sponsor anaenda alijojo....ndio ngumu kuliko zote....coz kuna usaliti na kunyongana....kusalitisna.....acha muda utaamua
 
Lini Watanzania walifuta adui ujinga?
Ulifutwa walipokuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa makoloni na kukataa ukoloni mambo leo; lakini ujinga ukarudishwa kwa Nguvu na Ari Mpya na Kasi Mpya", hadi leo hii tunaendelea kuogelea kwenye ujinga huo mpya tulio uokota upya.
 
Lini Watanzania walifuta adui ujinga?
Kila dakika ni hatua ,jana sio leo ,na kesho haiwezi kuwa kesho kutwa mkuu ,

Lakini pia kumbuka watz sio wajinga , ilikuaje enzi hizo machief waliwavulumisha kama sio kuwaodoa wakolon kwenye maeneo yao waliomiliki , so history will be back very soon , wakisemwa wa kina Mkwawa chief na wengine ,they did, mda mwalim
 
Nini kinafanya hoja za wapinzani zisitikise nchi? Watu wameshawazoea kwamba ni wa hivyo hivyo tu?
Lakini madhara ya ufisadi wa maccm ndo tumeyazoea zaidi

Yaani tunanunua sukari tshS elfu 6 kwa kilo badala ya tsh elfu 2.5 alafu
Kuna mtu chawa anachekelea upuuzi

Hii haikubaliki
 
Debe tupu.
Mkuu kwa hii kitu tunaenda kujua nani yupo na watz , misukari imeletwa kama kweli ,hatujui usalama wake , inaumizaa au itaumiza watu kwa namna gani kama kweli ,sio mimi ,wewe ndugu zako haijalishi waishi nje ya nchi au la ,alafu tunaleta utani , uchama katika jambo hili,

Kama ni kweli ndivyo hii itakua kama mauwaji ya kimbari ya taratibu kama hatuweza weza pata wachunguzi huru wa vyakula kutoka nje ya nchi , ili kutudhibishia kwamba iyo sukari ilikua na viwango au la kwa mlaji , kabla ya kuongelea ufisadi katika kitu hii.

Tunataka uchunguzi huru wa team toka nje chunguza masukali haya kwanza
 
Lakini madhara ya ufisadi wa maccm ndo tumeyazoea zaidi

Yaani tunanunua sukari tshS elfu 6 kwa kilo badala ya tsh elfu 2.5 alafu
Kuna mtu chawa anachekelea upuuzi

Hii haikubaliki
Achana na mkuu na bei kwanza je afya zetu tuko salama , haya ni kama magendo tu , na kama ndivyo ubora wake upo vipi kwa mtumiaji hili kwanza alafu , ndo tuje kwenye ufisadi
 
Huyu Mwamba siku zote yuko Mbele ya Muda.
 
Achana na mkuu na bei kwanza je afya zetu tuko salama , haya ni kama magendo tu , na kama ndivyo ubora wake upo vipi kwa mtumiaji hili kwanza alafu , ndo tuje kwenye ufisadi
Kumbe misukari yenyewe itatuaa?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wameshaanza kujulikana hata kabla hajawataja...

Bashe na Samia..

Ndio maana Samia hamtumbui Bashe licha ya kuharibu kila siku kwenye wizara yake, alianza na ule mradi wa BBT akala pesa vijana wakateseka kule Dodoma, leo ametupiga kwenye sukari, pamoja na yote hayo Samia yupo kimya anamtazama tu!.

Anamtazama tu kwasababu nae ni sehemu ya huo ufisadi, tunaongozwa na serikali ya wapiga dili, wote wezi.
 
Kumbe misukari yenyewe itatuaa?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sikiliza sijasema itatua ,ila kama ya viwango ya kijinga madhala yake ya kesho yaweza kuwa makubwa ,that's nikataka taasisi za kimataifa chunguza na sio za tz ,kujua ipo vizuri au la , .

Maana kama kweli waliopewa vibali sio wanatahaluma katika bidhaa hii , mfano kama mtu wa kampuni wa sim anapewa kibali cha sukari, au watumishi wa Mungu n.k ,wewe kama wewe na mtumiaji , upande wako ni upi ? Kwamba ipo salama au la , so nikisema kiundwe kwanza chunguza masukari haya ,nakosea wapi , je kama yapo na shida ni watz wangapi watapata badae matatizo ,tuanze na hili kabla ya kujadili ufisadi , uhai ni jambo no moja kwanza
Kama hujaelewa uliza tena point yangu
 
Taja tuu watu wang'oke,huu upumbavu wa kununua Sukari 4,500 ukome mara Moja
 
Taja tuu watu wang'oke,huu upumbavu wa kununua Sukari 4,500 ukome mara Moja
Sio kutoka madarakani tu kwanza kujua viwango vya sukari hii ,je ipo na ubora kwa matumizi ya binadam ? Kama sivyo uko bibi yangu mwisho wa reli ambae hajui lolote bali sukari ni sukari tu lakini hata mie usalama wa kiafya kwa badae upo katika hali gani? Watu na fani zao sie wengine ni kwenda kwa Mangi na kupima kilo ,nusu ,robo mpaka vijiko , n.k

Tukitoka hapo tunakuja kwa ufisadi

Kwanini bidhaa hii watu wapewe vibari wasiohusika kwa mjibu wa taratibu za nchi , nchi imepata hasara kiasi gani ?

Kama kweli wahusika tukisema ni wahujuma uchumi tutakosea? Kama kweli wahusika nani,? na nini mahamuzi ya wenye nchi basi kama inatokea ni kweli ,kama kweli hii itakua mbaya sana asema Bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…