Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna wana CHADEMA wananiita dikteta uchwara

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna wana CHADEMA wananiita dikteta uchwara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu sasa ni Mwenyekiti wa Taifa kama hajaridhika na msimamo wa Mwenyekiti mtangulizi angeweza kufanya mabadiliko muda wowote kuanzia sasa.

Masuala ya kusema jambo hili liliamuliwa kipindi cha Mbowe maana yake ni kwamba likishindwa kufanikiwa utarusha lawama kwa Mbowe.Likifanikiwa utajivika wewe utukufu kwamba ulilisimamia vizuri.

Lissu amekuwa ni mwanasiasa anayejipenda binafsi.Yuko tayari kumshambulia yoyote wakati wowote ili kufikia malengo yake.

Lissu mwache Mbowe apumzike acha tabia za kumsukumia upuuzi wako.
Unavyoandika kitu uwe umekielewa vizuri. Wap kamshambulia mbowe?
 
Kwa nini unahangaika namna hii wakati huu. Mmeahidiwa fungu zaidi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu?

Mmejiandaa vizuri kwa haya yatakayo fuata katika muda mfupi huu wa miezi michache ijayo, ikiwa ni pamoja na kutambua uhusika wenu katika maumivu watakayoweza kuwapata baadhi yetu ikiwa ni pamoja na kumwaga damu za waTanzania; kwa faida gani; ya hivyo vijisenti mnavyotupiwa chini mviokote?

Ndiyo, uko sahihi kabisa unapozungumzia "chuki" inapohusu watu kama wewe na hao wanaokutuma kuja hapa. Nisipokuwa na chuki na watu mnaoinajisi Tanzania, nitakuwa na chuki ya jambo gani?
You could be sick!! Go take your pills!!
 
Lissu sasa ni Mwenyekiti wa Taifa kama hajaridhika na msimamo wa Mwenyekiti mtangulizi angeweza kufanya mabadiliko muda wowote kuanzia sasa.

Masuala ya kusema jambo hili liliamuliwa kipindi cha Mbowe maana yake ni kwamba likishindwa kufanikiwa utarusha lawama kwa Mbowe.Likifanikiwa utajivika wewe utukufu kwamba ulilisimamia vizuri.

Lissu amekuwa ni mwanasiasa anayejipenda binafsi.Yuko tayari kumshambulia yoyote wakati wowote ili kufikia malengo yake.

Lissu mwache Mbowe apumzike acha tabia za kumsukumia upuuzi wako.
lakini alivyosema Lissu ni sahihi hii ni Taasisi msimamo wa chama huendelezwa na kiongozi anayefuata. Asilaumiwe vinginevyo hata CDM wakiingia kwenye uchaguzi wataibiwa kura mpaka wakome. hawatasahau.
 
Hajaanza uongozi. Lissu alikuwa the second most powerful person in Chadema. Alikuwa tayari ana constituency. Baada ya uchaguzi ule his first priority ilipaswa kuwa kuunganisha chama. Angeangalia huo upotoshaji unamuathiri vipi? Kama No Reform No Elections ni msimamo mzuri wa chama ana hasara gani kama akibebeshwa? Matendo yake ndio yataonyesha kama yeye ni dikteta uchwara au la.

Lakini mbona hata yeye alipotosha mengi kuhusu Mwenyekiti wake? Ajue kuwa hiyo ndio misalaba ya uongozi.

Amandla...
KAZI KUBWA AUNGANISHE CHAMA KISHA MENGINE YAFUATE. AWAITE IN PERSON KUWEKA MAMBO SAWA. HAWEZI KUONGOZA PEKE YAKE.
 
Wenje ni zimwi hawawezi kupambana na kushinda haki sababu ya ujambazi wake..
 
Mambo ya busara yamepitwa na wakati tundulisu anapaswa kuwa mkali dhidi ya mafisi ndani ya chama uxuri anajua jinsi wanavyoongwa na CCM.
 
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu Lissu ndiye mwanzilishi wa maneno hayo alikuwa anamtukana Magufuli kwa misimamo yake , Sasahivi Lissu analialia alikuwa akifikiri uongozi ni mchezo wa sanaa,Bila udictator uchwala hata familia uwezi kuiongoza, lakini wacha anywee kikombe naye.
 
You could be sick!! Go take your pills!!
What do you know about pills?
My advice to you is clear. Use part of the loot from Abdul to care for your mental health which is clearly in jeopardy.You should know that money cannot buy you everything!
 
KAZI KUBWA AUNGANISHE CHAMA KISHA MENGINE YAFUATE. AWAITE IN PERSON KUWEKA MAMBO SAWA. HAWEZI KUONGOZA PEKE YAKE.

What do you know about pills?
My advice to you is clear. Use part of the loot from Abdul to care for your mental health which is clearly in jeopardy.You should know that money cannot buy you everything!
Hapo sasa umekuwa bonge la mzungu
 
What do you know about pills?
My advice to you is clear. Use part of the loot from Abdul to care for your mental health which is clearly in jeopardy.You should know that money cannot buy you everything!
Wewe ni maskini kama wale wa enzi zile walioamini kila Lori na filling station ya nchi hii ni ya Riziwani Kikwete.... mnarudia upumbavu ule ule kwa Abduli mkiamini ana hela za kumpa kila mtu maana ni tajiri!! Mna fikira za kichawi na umaskini umekula sana akili zenu kiasi cha kujaa kutu na maji ya siki vifuani kiasi cha kubeua tindikali tu midomoni mwenu!!

Mtakufa na ushenzi wenu mafukara na mahayawani wakubwa nyie!
 
Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu wakati akihutubia wanawake wa CHADEMA Mlimani city kwenye siku ya wanawake duniani amelalamika kuwa kuna wanachadema na wengine ni wajumbe wa kamati kuu wanasema Lisu ni Mwenyekiti ambaye ni dikteta uchwara kutokana na msimamo wake wa no reform no election.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Tundu Lisu amelalamika kuwa si haki yeye kuitwa dikteta uchwara kwani msimamo wa no reform no election ni msimamo wa chama toka Mwenyekiti akiwa Freeman Mbowe, na uamuzi huo ulitokana na vikao halali vya chama.

Ni dikteta uchwara
 
Wewe ni maskini kama wale wa enzi zile walioamini kila Lori na filling station ya nchi hii ni ya Riziwani Kikwete.... mnarudia upumbavu ule ule kwa Abduli mkiamini ana hela za kumpa kila mtu maana ni tajiri!! Mna fikira za kichawi na umaskini umekula sana akili zenu kiasi cha kujaa kutu na maji ya siki vifuani kiasi cha kubeua tindikali tu midomoni mwenu!!

Mtakufa na ushenzi wenu mafukara na mahayawani wakubwa nyie!
Inaonyesha mambo haya unayajuwa vizuri, lakini usifikiri upumbavu unao ujuwa wewe kila mtu yupo hivyo.
Ni dhahiri kabisa wewe ni bidhaa tu uliyejiweka sokoni kununuliwa kama malaya tu!
Huna 'conviction' yoyote katika maisha yako.
 
Inaonyesha mambo haya unayajuwa vizuri, lakini usifikiri upumbavu unao ujuwa wewe kila mtu yupo hivyo.
Ni dhahiri kabisa wewe ni bidhaa tu uliyejiweka sokoni kununuliwa kama malaya tu!
Huna 'conviction' yoyote katika maisha yako.
Unazungumza hayo kwa kutumia anonymous ID? Unanijadili Anonymous na kufikia hizo conclusion? Kiufupi maandishi tu yanaonesha ni mtu uliyechanganyikiwa.
 
Unazungumza hayo kwa kutumia anonymous ID? Unanijadili Anonymous na kufikia hizo conclusion? Kiufupi maandishi tu yanaonesha ni mtu uliyechanganyikiwa.
Wewe ni kinyago tu, huna uwezo wa kunijuwa mimi kama nimechanganyikiwa.

Usihangaike bure kutaka kujuwa 'status' yangu ipoje. Hilo halitakusaidia kitu chochote wewe mtu duni unaye hangaika humu kutetea mambo yasiyokuwa na maslahi ya nchi yako, ili mradi tu utupiwe visenti vya kujikimu.
 
Back
Top Bottom