Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna wana CHADEMA wananiita dikteta uchwara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unavyoandika kitu uwe umekielewa vizuri. Wap kamshambulia mbowe?
 
You could be sick!! Go take your pills!!
 
lakini alivyosema Lissu ni sahihi hii ni Taasisi msimamo wa chama huendelezwa na kiongozi anayefuata. Asilaumiwe vinginevyo hata CDM wakiingia kwenye uchaguzi wataibiwa kura mpaka wakome. hawatasahau.
 
KAZI KUBWA AUNGANISHE CHAMA KISHA MENGINE YAFUATE. AWAITE IN PERSON KUWEKA MAMBO SAWA. HAWEZI KUONGOZA PEKE YAKE.
 
Wenje ni zimwi hawawezi kupambana na kushinda haki sababu ya ujambazi wake..
 
Mambo ya busara yamepitwa na wakati tundulisu anapaswa kuwa mkali dhidi ya mafisi ndani ya chama uxuri anajua jinsi wanavyoongwa na CCM.
 
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu Lissu ndiye mwanzilishi wa maneno hayo alikuwa anamtukana Magufuli kwa misimamo yake , Sasahivi Lissu analialia alikuwa akifikiri uongozi ni mchezo wa sanaa,Bila udictator uchwala hata familia uwezi kuiongoza, lakini wacha anywee kikombe naye.
 
You could be sick!! Go take your pills!!
What do you know about pills?
My advice to you is clear. Use part of the loot from Abdul to care for your mental health which is clearly in jeopardy.You should know that money cannot buy you everything!
 
KAZI KUBWA AUNGANISHE CHAMA KISHA MENGINE YAFUATE. AWAITE IN PERSON KUWEKA MAMBO SAWA. HAWEZI KUONGOZA PEKE YAKE.

What do you know about pills?
My advice to you is clear. Use part of the loot from Abdul to care for your mental health which is clearly in jeopardy.You should know that money cannot buy you everything!
Hapo sasa umekuwa bonge la mzungu
 
What do you know about pills?
My advice to you is clear. Use part of the loot from Abdul to care for your mental health which is clearly in jeopardy.You should know that money cannot buy you everything!
Wewe ni maskini kama wale wa enzi zile walioamini kila Lori na filling station ya nchi hii ni ya Riziwani Kikwete.... mnarudia upumbavu ule ule kwa Abduli mkiamini ana hela za kumpa kila mtu maana ni tajiri!! Mna fikira za kichawi na umaskini umekula sana akili zenu kiasi cha kujaa kutu na maji ya siki vifuani kiasi cha kubeua tindikali tu midomoni mwenu!!

Mtakufa na ushenzi wenu mafukara na mahayawani wakubwa nyie!
 
Ni dikteta uchwara
 
Inaonyesha mambo haya unayajuwa vizuri, lakini usifikiri upumbavu unao ujuwa wewe kila mtu yupo hivyo.
Ni dhahiri kabisa wewe ni bidhaa tu uliyejiweka sokoni kununuliwa kama malaya tu!
Huna 'conviction' yoyote katika maisha yako.
 
Inaonyesha mambo haya unayajuwa vizuri, lakini usifikiri upumbavu unao ujuwa wewe kila mtu yupo hivyo.
Ni dhahiri kabisa wewe ni bidhaa tu uliyejiweka sokoni kununuliwa kama malaya tu!
Huna 'conviction' yoyote katika maisha yako.
Unazungumza hayo kwa kutumia anonymous ID? Unanijadili Anonymous na kufikia hizo conclusion? Kiufupi maandishi tu yanaonesha ni mtu uliyechanganyikiwa.
 
Unazungumza hayo kwa kutumia anonymous ID? Unanijadili Anonymous na kufikia hizo conclusion? Kiufupi maandishi tu yanaonesha ni mtu uliyechanganyikiwa.
Wewe ni kinyago tu, huna uwezo wa kunijuwa mimi kama nimechanganyikiwa.

Usihangaike bure kutaka kujuwa 'status' yangu ipoje. Hilo halitakusaidia kitu chochote wewe mtu duni unaye hangaika humu kutetea mambo yasiyokuwa na maslahi ya nchi yako, ili mradi tu utupiwe visenti vya kujikimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…