Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna wana CHADEMA wananiita dikteta uchwara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usihangaike bure kutaka kujuwa 'status' yangu ipoje. .
Hahahahaha tukiwaambia mmechanganyikiwa hamuelewi!! Teh Teh Teh takataka Kama wewe mi nikujie inisaidie nini? Yaani kupitia maandishi yako tu directly unaonesha ni mtu mwenye dhiki, chuki na ni hayawani usiye na mbele wala nyuma!!

We kenge kweli 😂😂
 
Nashukuru umekwisha nielewa. Haya mengine yote ni kujikosha tu.

Hayo ya "chuki" nilisha kueleza kitambo kwamba uko sahihi kabisa. Nina "chuki" sana na watu wa aina yenu, na hao unao poteza muda wako kuwatetea humu, kwa kuinajisi nchi yetu. Hili nina chuki nalo sana.

Sasa sijui unataka nikusaidie vipi mtu duni kama wewe.
 
Take your pills!
 
Huna karma ya uongozi.Unalialia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…