Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuondoka kwa Msigwa CHADEMA ni pigo sana kwangu na tumepoteza mtu muhimu sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila ilikuwaje mka-kaa na mtu asiye na AKILI kama alivyosema kwa CHIEF ODEMBA.?
 
Hata ile taarifa ya Jeshi la Polisi waliyotoa kuwa Chadema wanapanga kuvamia vituo vya Poilisi ni Msigwa huyuhuyu aliwaingiza chaka. Ni wakati sasa wana Chadema wachukue sheria mkononi kumshughulikia huyu tumbili Peter Msigwa.
mnatapatapa sana chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…