Tundu Lissu kuongoza Mazishi ya Derrick Magoma yatakayofanyika Manyara 12/02/2025

Tundu Lissu kuongoza Mazishi ya Derrick Magoma yatakayofanyika Manyara 12/02/2025

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Amani Golugwa imeeleza kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.

Taarifa zinaeleza kwamba Derrick atazikwa Mkoa Manyara tarehe 12/02/2025.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Derrick, Amina
 
Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Amani Golugwa imeeleza kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.

Taarifa zinaeleza kwamba Derrick atazikwa Mkoa Manyara tarehe 12/02/2025.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Derrick, Amina
Amen
 
Back
Top Bottom