kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Haya kakojoe ushafika mjini!Lissu anawatemesha mate wengi sana Lumumba ukiwa mmoja wao🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kakojoe ushafika mjini!Lissu anawatemesha mate wengi sana Lumumba ukiwa mmoja wao🤣
Mwenezi ni wewe chadema digital ukiambiwa utoe hesabu za kadi ulizo uza unazimia!Mara Chadema haina Mwenezi mara Erythrocyte mwenezi, tushike lipi?
Malipo ya kadi za Chadema ni kwa control number, mimi siwezi kupokea helaMwenezi ni wewe chadema digital ukiambiwa utoe hesabu za kadi ulizo uza unazimia!
msiba ni wa mwanasiasa hivyo kumuenzi kisiasa hakuepukiki !!Ni vizuri lakini asianze kuleta siasa kwenye misiba kama inavyofanywa nchi jirani.
Join the chain walisema hivyo mwisho wa siku zilitokomea kusikojulikana!Malipo ya kadi za Chadema ni kwa control number, mimi siwezi kupokea hela
Suala sio kumuenzi. Ila kuleta siasa msibani kama inavyofanywa hapo nchi jirani. Usijianye huelewi.msiba ni wa mwanasiasa hivyo kumuenzi kisiasa hakuepukiki !!
Kifo cha Derick kime nisikitisha sana. He was a strong manTaarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Amani Golugwa imeeleza kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.
Taarifa zinaeleza kwamba Derrick atazikwa Mkoa Manyara tarehe 12/02/2025.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Derrick, Amina
Woyi! Nimeachana na Taarifa hizi naona zimeshakuwa ni vimeo.Kuna ajali tena muulize mwenezi wao Erythrocyte......
Amka usingizini utakojolea kitandaHaya kakojoe ushafika mjini!
Duh Dr Magoma amefariki? Aiseee nimeshtuka sana.... mbona ghafla sana, alipata changamoto gani?Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Amani Golugwa imeeleza kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.
Taarifa zinaeleza kwamba Derrick atazikwa Mkoa Manyara tarehe 12/02/2025.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Derrick, Amina
Kutukumuona ww haimaanishi hahudhurii, na sio sifa kuhudhuria kila msiba. Yaani sio kigezo cha kuwa mwenyekiti mzuri. Una lingine kwa msaada zaidi?Tangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Umenunua simu mpya nini boss, naona bado hujaizoea keypad yake. Au umeacha miwani ya kusomea mahali?Kifo Cha kiongozi wa Chama Cha siasa,nwasifubwa mwanasiasa, kuhusu Siasa!!
Unatofaitisha vipi??🤔🤔🤔
Zipo tetesi kwamba aliwekewa kitu fulani, tunaendelea kuchunguzaDuh Dr Magoma amefariki? Aiseee nimeshtuka sana.... mbona ghafla sana, alipata changamoto gani?
Utakuwa unamiliki cm mara ya kwanza, hujazoea, ndio maana hujui neno typing error 🤣😅🤣😅Umenunua simu mpya nini boss, naona bado hujaizoea keypad yake. Au umeacha miwani ya kusomea mahali?
Ukiwa na typing error nyingi ni tatizo. Kama ndio namiliki mara ya kwanza, nilipaswa kuwa nazo nyingi zaidi yako. Pitia post zako zote uone typing errors zako.Utakuwa unamiliki cm mara ya kwanza, hujazoea, ndio maana hujui neno typing error 🤣😅🤣😅
Lissu sio mchawi kama wewe.Tangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Nchi gani?.Ni vizuri lakini asianze kuleta siasa kwenye misiba kama inavyofanywa nchi jirani.
Pale Singida Kuna mgombea wa Uwenyekiti wa Kijiji mlimuua!! Kwenye mazishi hayo alikwenda mke wa babako?Tangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Acha uchawiTangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Mbona akikuambia uende ukaandamane nae unajifunika shuka kenge wa madoa wa hedi!Lissu sio mchawi kama wewe.
Na bila Mungu mngeweza kumuua na vi-riasi vyenu mwaka 2017. Shenzi zenu.