Lini huyu jamaa kawa dr??Duh Dr Magoma amefariki? Aiseee nimeshtuka sana.... mbona ghafla sana, alipata changamoto gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini huyu jamaa kawa dr??Duh Dr Magoma amefariki? Aiseee nimeshtuka sana.... mbona ghafla sana, alipata changamoto gani?
Ndio akili Yako ilipoishia??? Akili ya kuvukia barabara 😅🤣😅🤣 that's nonsense to me!!Ukiwa na typing error nyingi ni tatizo. Kama ndio namiliki mara ya kwanza, nilipaswa kuwa nazo nyingi zaidi yako. Pitia post zako zote uone typing errors zako.
Sahihi kabisaTangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
🗑️👙🛃🛃🚾Umenunua simu mpya nini boss, naona bado hujaizoea keypad yake. Au umeacha miwani ya kusomea mahali?
Hataenda imetolewa taarifa tayariTangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!