Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unaandika uongo kwa faida ya nani?Tangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Utarudi hapa kuja kuniomba radhi.......!Unaandika uongo kwa faida ya nani?
Tundu sio JPM, acha kukaririTangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
AmenTaarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Amani Golugwa imeeleza kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.
Taarifa zinaeleza kwamba Derrick atazikwa Mkoa Manyara tarehe 12/02/2025.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Derrick, Amina
"Kipara bila akili ni sawa na TAKO"Tangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Hicho kipara kipya kina kitu chochote ndani kweli?Tangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Mkuu, Bora TAKO walau linaweza kumsaidia kukaa."Kipara bila akili ni sawa na TAKO"
Kifo Cha kiongozi wa Chama Cha siasa,nwasifubwa mwanasiasa, kuhusu Siasa!!Ni vizuri lakini asianze kuleta siasa kwenye misiba kama inavyofanywa nchi jirani.
π€£π€£ NoumaMkuu, Bora TAKO walau linaweza kumsaidia kukaa.
Hata huyo Lisu atakufa kama mimi na wewe.Kifo Cha kiongozi wa Chama Cha siasa,nwasifubwa mwanasiasa, kuhusu Siasa!!
Unatofaitisha vipi??π€π€π€
Kazi ya mwanasiasa ninini?Ni vizuri lakini asianze kuleta siasa kwenye misiba kama inavyofanywa nchi jirani.
Ni lazima ahusishebsoasa, tukio ni la kisiasa, ingekuwa mkutano wa Injili kaalikwa ,ulikuwa sawa kusema asihusishe SiasaHata huyo Lisu atakufa kama mimi na wewe.
Kusoma wasifu wa mwanasiasa na kuleta siasa msibani ni vitu viwili tofauti.Kazi ya mwanasiasa ninini?
Kusoma wasifu wa mwanasiasa na kuleta siasa msibani ni vitu viwili tofauti. Nadhani unanielewa.Ni lazima ahusishebsoasa, tukio ni la kisiasa, ingekuwa mkutano wa Injili kaalikwa ,ulikuwa sawa kusema asihusishe Siasa