Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuongoza Watu Wajinga ni rahisi sana, tumekuwa Taifa la kuogopa miungu Watu badala ya kumtegemea Mungu wa Mbinguni!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lowassa alituhumiwa tu lakini baadae Tume ya Dr Mwakyembe ikaogopa kwenda kumhoji na Edward Lowassa akatangaza Kujiuzulu na kumtaja mwenye Richmond huku Dr Mwakyembe mwenyewe akiwa na Kampuni ya kufua Umeme wa Upepo Singida

Na Lowassa hakuwahi kushtakiwa popote πŸ˜‚
 
Hii ni kweli kabisa mkuu mtoa mada. CCM ndio wametufikisha hapa tulipo kwa kutujaxa ujinga na undondocha ili waendelee kutafuna rasilimali za taifa.
 
Nini kigumu nisichoweza kuelewa kuwa Lissu alipigwa risasi na wakala wa serikali hii. Kwa mwovu kama wewe ndiye unafumbia macho ukweli huu.
Serikali ingemtaka mabeki 3 wangeshughulika naye

Ni beki 3 wa Serikali Ndiye alimuwahisha Tundu Lisu hospital na kuokoa maisha yake kama ulikuwa hujui πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sema nyie watoto Wadogo mnaongeaga tu mkishakunywa hayo maenergy
 
Kifupi mifumo imeparalyze na hakuna anayejali tena zaidi ya watu kuendelea kusosomola.
 
Serikali ingemtaka mabeki 3 wangeshughulika naye

Ni beki 3 wa Serikali Ndiye alimuwahisha Tundu Lisu hospital na kuokoa maisha yake kama ulikuwa hujui πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sema nyie watoto Wadogo mnaongeaga tu mkishakunywa hayo maenergy
Ukifikiri mipango hiyo angeshirikishwa huyo beki 3? Yeye alifanya hivyo kwa wema wake kuokoa maisha ya mtu anayekaribia kutokwa na uhai. Reasoning yako ni ya kitoto sana kuwa kwa vile beki tatu anayelipwa na serikali alihusika kutoa msaada basi serikali haikuhusika. Wale askari FFU waliokuwa wanalinda pale nani aliwaondoa? Cctv camera zilizochukuliwa na polisi baada ya tukio leo hii ziko wapi? Usifikiri unajadili na walevi wenzako wa ulanzi hapa.
 

Sawa, lakini ni CHADEMA ndiyo waliomuweka katika listi ya mafisadi iliyosomwa Mwembeyanga, na wakamuita fisadi kila kukicha kwa zaidi ya miaka 8 hata baada ya kujiuzulu kwake!. Waliacha kumuita fisadi alipogombea uraisi kupitia chama chao!

Mwakyembe hajawahi kumuita Lowasa fisadi!
 
Unaelewa maana ya Tuhuma bwashee?
 
lisu ni kichaa full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…