Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hopeless Fulani kaanzisha "sredi"!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viwanda mbona vipo mfano Pwani kule!Viwanda mlivyojenga viko wapi bro?
Mtaharisha hadi utumbo mwaka huu.Yaani CDM toka kupambana na kupinga UFISADI, mpaka kupinga maendeleo ya vitu ! Hivi mwenye hoja za kupinga na kutokomeza Ufisadi na kupinga maendeleo ya vitu yupi anaonekana wa maana ? Kiufupi lissu na Cdm yake wana jisumbua tu , kushinda uchaguzi huu ni ndoto!..
Vya kutafuta na tochi aya sawa tutawachagua mmenunua ndege na mmejenga daraja la kufanyia shooting video za DiamondViwanda mbona vipo mfano Pwani kule!
You Pimbi, you gotta wait and see this 2020. You and your goons ain't believe itNdugu zangu,
Huku site chuya na mchele zimeanza kujichuja kwani ni dhahiri sana Tundu Lissu anakwenda kuiangusha Chadema kwa kupoteza majimbo na kata ambazo Lowassa alishinda akiwa mgombea urais mwaka 2015 na Dr. Slaa mwaka 2010
Fundisho lililopo hapa ni kuwa kejeli,lopolopo au dhihaka na ujuaji majukwaani.Lissu ameshindwa kukonga nyoyo za wapiga kura na badala yake amejikita kulalamika huku kauli mbiu yake ikiwa "Watanzania hawataki maendeleo ya vitu (miundombinu, umeme, maji, shule, hospitali nk).
Muda umekwisha kwani Chasema kwa sasa hawawezi kufanya mabadiliko ya mgombea urais. Kwa haraka haraka majimbo yanapotea mwaka huu ni pamoja na Karatu, Moshi, Arumeru Magharibi na Mashariki, Arusha Mjini, Moshi Mjini, Vijijini, Rombo, Ukerewe, Bunda Mjini, Tarime Mjini na Vijijini, Simanjiro, Monduli, Babati nk. Ikumbukwe majimbo haya yalipatikana kutokana na umahiri wa wagombea urais wa Chadema mwaka 2010 na 2015.
Zaidi, Tundu anakwenda kulikabidhi Jimbo lake la Ikungi CCM.
Tupinge kwa hoja.
sawa.Ndugu zangu,
Huku site chuya na mchele zimeanza kujichuja kwani ni dhahiri sana Tundu Lissu anakwenda kuiangusha Chadema kwa kupoteza majimbo na kata ambazo Lowassa alishinda akiwa mgombea urais mwaka 2015 na Dr. Slaa mwaka 2010
Fundisho lililopo hapa ni kuwa kejeli,lopolopo au dhihaka na ujuaji majukwaani.Lissu ameshindwa kukonga nyoyo za wapiga kura na badala yake amejikita kulalamika huku kauli mbiu yake ikiwa "Watanzania hawataki maendeleo ya vitu (miundombinu, umeme, maji, shule, hospitali nk).
Muda umekwisha kwani Chasema kwa sasa hawawezi kufanya mabadiliko ya mgombea urais. Kwa haraka haraka majimbo yanapotea mwaka huu ni pamoja na Karatu, Moshi, Arumeru Magharibi na Mashariki, Arusha Mjini, Moshi Mjini, Vijijini, Rombo, Ukerewe, Bunda Mjini, Tarime Mjini na Vijijini, Simanjiro, Monduli, Babati nk. Ikumbukwe majimbo haya yalipatikana kutokana na umahiri wa wagombea urais wa Chadema mwaka 2010 na 2015.
Zaidi, Tundu anakwenda kulikabidhi Jimbo lake la Ikungi CCM.
Tupinge kwa hoja.
Naona ukweli unawachoma? hamna hoja alafu mnawaza kuingia ikulu!.Mtaharisha hadi utumbo mwaka huu.
Kunywa maji sista............au kamsaidie Mbowe bapa msake kiki tenaKejeli lopolopo ni yule aliyesema hakuleta tetemeko.
Wananchi wa Mwanza wasibomolewe nyumba kwakua walimpigia kura.
Hata kudiriki kumuoza mama yake mzazi kwa mahari ya jogoo.
Endelea kujifurahisha kada.
Nani sasa anayepinga ufisadi? Awamu hii ndio iliyotuletea biashara mpya ya ukitukana unapewa rushwa na uteuzi Ni awamu hii iliyotuletea rushwa kupitia manunuzi ya watu waunge juhudi. Ni awamu hii mchakato wa watia nia umegubikwa na rushwa ya kutisha..bado unalo jingine?Yaani CDM toka kupambana na kupinga UFISADI, mpaka kupinga maendeleo ya vitu ! Hivi mwenye hoja za kupinga na kutokomeza Ufisadi na kupinga maendeleo ya vitu yupi anaonekana wa maana ? Kiufupi lissu na Cdm yake wana jisumbua tu , kushinda uchaguzi huu ni ndoto!..
Ndugu unajua vimejengwa vituo vya Afya vingapi nchini , huduma za maji? sasa hivi mgombea wenu kila Kona akipita ni mkeka tu !. Mbona mmekomaa na ndege kana kwamba sekta nyingine hakufanyika kitu? ..Vya kutafuta na tochi aya sawa tutawachagua mmenunua ndege na mmejenga daraja la kufanyia shooting video za Diamond
Wewe umefanya unaumia na nini?Ndugu unajua vimejengwa vituo vya Afya vingapi nchini , huduma za maji? sasa hivi mgombea wenu kila Kona akipita ni mkeka tu !. Mbona mmekomaa na ndege kana kwamba sekta nyingine hakufanyika kitu? ..
Kama ni hizo hoja ndo mtatembea nazo hamtashinda kabisa hata diwaniKejeli lopolopo ni yule aliyesema hakuleta tetemeko.
Wananchi wa Mwanza wasibomolewe nyumba kwakua walimpigia kura.
Hata kudiriki kumuoza mama yake mzazi kwa mahari ya jogoo.
Endelea kujifurahisha kada.
Sasa kama kuna rushwa ndo mje na hoja za kutokomeza rushwa serikalini ili wananchi wawape ridhaa ! Hivi wananchi wa sawa muawambie serikalini kun rushwa watakuelewa?..Wakati kila kitu wanaona !Nani sasa anayepinga ufisadi? Awamu hii ndio iliyotuletea biashara mpya ya ukitukana unapewa rushwa na uteuzi Ni awamu hii iliyotuletea rushwa kupitia manunuzi ya watu waunge juhudi. Ni awamu hii mchakato wa watia nia umegubikwa na rushwa ya kutisha..bado unalo jingine?
Kwani kampeni zimeanza?Kama ni hizo hoja ndo mtatembea nazo hamtashinda kabisa hata diwani
Ndugu zangu,
Huku site chuya na mchele zimeanza kujichuja kwani ni dhahiri sana Tundu Lissu anakwenda kuiangusha Chadema kwa kupoteza majimbo na kata ambazo Lowassa alishinda akiwa mgombea urais mwaka 2015 na Dr. Slaa mwaka 2010
Fundisho lililopo hapa ni kuwa kejeli,lopolopo au dhihaka na ujuaji majukwaani.Lissu ameshindwa kukonga nyoyo za wapiga kura na badala yake amejikita kulalamika huku kauli mbiu yake ikiwa "Watanzania hawataki maendeleo ya vitu (miundombinu, umeme, maji, shule, hospitali nk).
Muda umekwisha kwani Chasema kwa sasa hawawezi kufanya mabadiliko ya mgombea urais. Kwa haraka haraka majimbo yanapotea mwaka huu ni pamoja na Karatu, Moshi, Arumeru Magharibi na Mashariki, Arusha Mjini, Moshi Mjini, Vijijini, Rombo, Ukerewe, Bunda Mjini, Tarime Mjini na Vijijini, Simanjiro, Monduli, Babati nk. Ikumbukwe majimbo haya yalipatikana kutokana na umahiri wa wagombea urais wa Chadema mwaka 2010 na 2015.
Zaidi, Tundu anakwenda kulikabidhi Jimbo lake la Ikungi CCM.
Tupinge kwa hoja.
Kejeli lopolopo ni yule aliyesema hakuleta tetemeko.
Wananchi wa Mwanza wasibomolewe nyumba kwakua walimpigia kura.
Hata kudiriki kumuoza mama yake mzazi kwa mahari ya jogoo.
Endelea kujifurahisha kada.
DJ mafuvuu
Jina kubwa sana Wewe, Sema sasa akili ndo inapimwa hapa! Ningekua Wewe ningepigania Habari! Vyombo vyote vitangaze kila kitu, Lisu aachwe aongee sana hadi wote tujue hizo chuya, au pumba nk. Vinginevyo hii ni propaganda uchwara tu!
Una utani wa ngumi[emoji1787] mahari ya jogoo..!! Kweli?Kejeli lopolopo ni yule aliyesema hakuleta tetemeko.
Wananchi wa Mwanza wasibomolewe nyumba kwakua walimpigia kura.
Hata kudiriki kumuoza mama yake mzazi kwa mahari ya jogoo.
Endelea kujifurahisha kada.