W Wakudadavuwa JF-Expert Member Joined Feb 17, 2016 Posts 17,506 Reaction score 16,003 Aug 16, 2020 Thread starter #61 Jielekeze kwenye hoja kamanda Chakaza said: Unamfahamu Juliana Shonza? Labda nijibu kwanza ili tuanze mjadala. Click to expand...
Jielekeze kwenye hoja kamanda Chakaza said: Unamfahamu Juliana Shonza? Labda nijibu kwanza ili tuanze mjadala. Click to expand...
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,893 Reaction score 20,089 Aug 16, 2020 #62 Abul Aaliyah said: Imepenya hyo Click to expand... Sio imeteguka?
W Wamabere JF-Expert Member Joined Jul 19, 2016 Posts 1,263 Reaction score 703 Aug 16, 2020 #63 Sky Eclat said: Kejeli lopolopo ni yule aliyesema hakuleta tetemeko. Wananchi wa Mwanza wasibomolewe nyumba kwakua walimpigia kura. Hata kudiriki kumuoza mama yake mzazi kwa mahari ya jogoo. Endelea kujifurahisha kada. Click to expand... Unashangaa nini mtu kuolewa kwa mahari ya jogoo mbona mie mahari yangu nilitoa shs elfu mbili tu acha ujinga ndugu yangu ongea ya maana
Sky Eclat said: Kejeli lopolopo ni yule aliyesema hakuleta tetemeko. Wananchi wa Mwanza wasibomolewe nyumba kwakua walimpigia kura. Hata kudiriki kumuoza mama yake mzazi kwa mahari ya jogoo. Endelea kujifurahisha kada. Click to expand... Unashangaa nini mtu kuolewa kwa mahari ya jogoo mbona mie mahari yangu nilitoa shs elfu mbili tu acha ujinga ndugu yangu ongea ya maana
Abul Aaliyah JF-Expert Member Joined Nov 8, 2016 Posts 7,718 Reaction score 5,899 Aug 16, 2020 #64 Unaweza kumuozesha mama yako we nguchiro? Wamabere said: Unashangaa nini mtu kuolewa kwa mahari ya jogoo mbona mie mahari yangu nilitoa shs elfu mbili tu acha ujinga ndugu yangu ongea ya maana Click to expand...
Unaweza kumuozesha mama yako we nguchiro? Wamabere said: Unashangaa nini mtu kuolewa kwa mahari ya jogoo mbona mie mahari yangu nilitoa shs elfu mbili tu acha ujinga ndugu yangu ongea ya maana Click to expand...
W Wakudadavuwa JF-Expert Member Joined Feb 17, 2016 Posts 17,506 Reaction score 16,003 Aug 16, 2020 Thread starter #65 Jikite kwenye hoja kamanda acha kuyumba Abul Aaliyah said: Unaweza kumuozesha mama yako we nguchiro? Click to expand...
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuyumba Abul Aaliyah said: Unaweza kumuozesha mama yako we nguchiro? Click to expand...