Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari hii ni kwa mujibu tweet ya International Democratic Union:
We are pleased to confirm Hon. Tundu Lissu’s participation at the #IDUForum2020. Tundu Lissu is Vice-Chairman of @ChademaTz and was Presidential candidate in the recent elections in #Tanzania, which have been an example for an unfree, unjust and unrightful voting process.
Bado tunajadili ya Mdee we ushaanza ya mkimbizi Lissu?Uchaguzi huu umetutia aibu na umekuwa ni mfano mmojawapo wa chaguzi mbovu kabisa duniani.
Tuseme hii ndio Legacy ya Magu kwa Taifa na dunia kwa ujumla.
Lisu anayetafuta ku steam out frustration zake baada ya kukosa uraisi na akina Halima mdee kusepa ndie mwenye siku inayoharibika anatafuta pa kupumulia walau ajione yuko still relevantYaani CCM, MAGUFULI, Jane Lowassa, Pascal Mayalla and the team wakisikia jina Tundu Lissu, siku yao inaharibika kabisa, hivi aliwakoseeni nini hadi mkataka kumuua?
Hizo sio international forum ni ki NGO cha wahuni wachache cha kuibia wazungu wenzao.Hizi international forums za demokrasia duniani mbona wanawaruka CCM ? au hawa ni MABEBERU wanahamasishana kuivamia Africa kuwaibia madini yao. Si bure.
ina maana hata hao wagombea waliokatwa majina na NEC na wale waliobakiiziwa kesi siku chache kabla ya kurudisha form za uteuzi, pamoja na wale waliotekwa njiani wakati wa zoezi zima la kururudisha form za uteuzi Je hizo zote zilikuwa ni njama za Mabeberu kutaka kupandikiza mawakala wao ili kuvuruga amani na mshikamano wetu kama Taifa huru?Hizo sio international forum ni ki NGO cha wahuni wachache cha kuibia wazungu wenzao
Angalia Lisu alivyokuja hakuja kugombea uraisi alikuja tu kutafuta platform ya kumtukana Magufuli tu
Ndio maana unaona yeye kampeni nzima ilikuwa kutukana Magufuli tu
Ndio hivyo tena sasa ndio tunaenda kuchafuka kimataifa mpaka tukomeHizo sio international forum ni ki NGO cha wahuni wachache cha kuibia wazungu wenzao.
Angalia Lissu alivyokuja hakuja kugombea uraisi alikuja tu kutafuta platform ya kumtukana Magufuli tu.
Ndio maana unaona yeye kampeni nzima ilikuwa kutukana Magufuli tu.
Kwahiyo kuua watu na kuwatesa ndio mfumo mzuriDemokrasia ni mfumo mzuri lakini unatiwa ukakasi na mataifa ya magharibi kupenyeza ajenda zao kwa mgongo wa kutetea demokrasia.
Ndio maana uchina ameamua kujiweka mbali na huu mfumo kwa kuwa ndani yake kuna ajenda nyingi za western power. Ulazimishwaji wa demokrasia umeleta mabalaa mengi duniani kuliko faida.
Sisi tuliomchagua ndiyo tunajua thamani yake, wewe na hizo internation organisation zako endelea na yenu.Kwa mara ya kwanza katika historia, Taifa limepata rais ambae hata international community inamuona hana chochote cha ku-share na dunia!!
Kagame na udikteta wake wote lakini alikuwa anaalikwa huko duniani kwa sababu watu waliamini ana kitu cha ku-share! The so-called Mabeberu walifahamu pamoja na udikteta wa PK lakini ukimweka mbele atetete anachokiamini, atakitetea in a more intellectual way, kitu ambacho Dikteta Jiwe hawezi!!
sasa kinachowaliza anaisaliti nchi nini?Sisi tuliomchagua ndiyo tunajua thamani yake, wewe na hizo internation organisation zako endelea na yenu.
Huyo Lisu hata afanye makongamano mara milioni hatakuja kuwa Rais wa Tanzania
Bila Shaka umesoma ukiwa majibu yako kichwani......rudia tena kusoma ukiwa na mtazamo huru:.....Kwahiyo kuua watu na kuwatesa ndio mfumo mzuri