Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kuna mtu angesema pipo uzid to die in ze reki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu siyo Amstwrdam dada.Alikuwa anamtukana Magufuli au alikuwa anampa makavu laivu ya maovu yake?
Mayanga construction. Magufuli na Mayanga hawajaoa nyumba moja?...
Lisu ni loserLissu ni Shujaa
Kwahiyo hapo Lisu ata gain kitu gani mkuu?Kuna mtu angesema pipo uzid to die in ze reki
🤣🤣🤣🤣🤸♂️🤸♂️🤸♂️😍😍🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️ sarakasi zinaendelea.Habari hii ni kwa mujibu tweet ya International Democratic Union:
We are pleased to confirm Hon. Tundu Lissu’s participation at the #IDUForum2020. Tundu Lissu is Vice-Chairman of @ChademaTz and was Presidential candidate in the recent elections in #Tanzania, which have been an example for an unfree, unjust and unrightful voting process.
Brother! Under US sanction Law Tanzania tunawekewa vikwazo,Zile resolutions zilizopitishwa kwenye house of representatives and US congress ni vehicles ambazo zinasaidia kwenye kuipelekea US government kuweka vikwazo, & watu kama akina Amsterdam wanatambulika under US Law kwa kazi wanazofanya za ku lobby US government katika maeneo tofauti ya kisera.Umeongea point niliwai kushauri hili magufuli angetakiwa atumie njia yoyote huyuu jamaa wawe na maridhiano.
Angetafuta waliompga risasi mashtaka yafungulia na angelaani kile kitendo. Sasa kakaa kimyaa inamaana kabariki HILOO.
ila mwishoo wa siku wanainchi wakawaida ndo tutakaoumia.
Atalose nini?Kwahiyo hapo Lisu ata gain kitu gani mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]CCM viongozi wao watashiriki lini au wao ni TBC na ITV tu?
Ni loser kama wewe.Kwa kipi mkuu? LISU ni loser!
loser kama wewe.Lisu ni loser
Demokrasia ni mfumo mzuri lakini unatiwa ukakasi na mataifa ya magharibi kupenyeza ajenda zao kwa mgongo wa kutetea demokrasia.
Ndio maana uchina ameamua kujiweka mbali na huu mfumo kwa kuwa ndani yake kuna ajenda nyingi za western power. Ulazimishwaji wa demokrasia umeleta mabalaa mengi duniani kuliko faida.
Hiyo itakuwa ni kama kutaka Humphrey Polepole aitwe akashiriki kwenye forum ya Quantum Physicists!!Kwahiyo unataka Magu pia aitwe kushiriki hapo?
kumbe una akili ndogo kiasi hicho !Kwahiyo hapo Lisu ata gain kitu gani mkuu?
Hao wote uliowataja hawana uwezo kabisa kiakili kupambana na Lissu.Yaani CCM, MAGUFULI, Jane Lowassa, Pascal Mayalla and the team wakisikia jina Tundu Lissu, siku yao inaharibika kabisa, hivi aliwakoseeni nini hadi mkataka kumuua?
Brother! Under US sanction Law Tanzania tunawekewa vikwazo,Zile resolutions zilizopitishwa kwenye house of representatives and US congress ni vehicles ambazo zinasaidia kwenye kuipelekea US government kuweka vikwazo, & watu kama akina Amsterdam wanatambulika under US Law kwa kazi wanazofanya za ku lobby US government katika maeneo tofauti ya kisera,kuapply vikwazo nk. Amsterdam ana connection kubwa na policy makers wa Marekani na yupo kwenye kuloby Lissu ashiriki kwenye mahojiano na kamati za mabunge ya Marekani na ku shine light juu ya nchi yetu.Vikwazo vikishaingia ni ngumu kuvitoa-hvyo kuweka mambo sawa kabla havijawekwa ndo busara yenyewe,Ni jinsi gani ya kufanya visiwekwe ni kukaa na wadau wa vyama vya siasa hasa chadema na kupata suluhisho kama alivyofanya Kenyata kenya.
Upo sahihi sana.Hata Mugabe hakulielewa hili unalolisema mpaka vikwazo vilipowekwa na madhara yake alipoyaona alianza kuomba viondolewe mpaka mauti yalipomkuta.Just wait and see Joe Biden hzo vurugu atakazofanya-jamaa hana urafiki na watu wanaovunja haki za binadamu.Tatizo Raisi wetu halioni hiloo anapenda kusema hapangiwi, huwezi kuleta ubabe kwa mtu alieshika mpini, viongozi wetu wanalijua hiloo ila maumivu hawatapata kwaiyoo wanaleta kiburi. Mara tumeshinda Vita Uganda Yani adi aibu. Bila busara tutaumia kwa MUDA mrefu Sana.
Mkuu usidharau sana nchi za magharibi,maana Sera zao huwa ni Uhuru na haki za binadamu. Imagine kama mfumo wetu ungekuwa Wa haki na uwazi has a katika kipindi cha uchaguzi,isingepata lawama kutoka pande zozote.Demokrasia ni mfumo mzuri lakini unatiwa ukakasi na mataifa ya magharibi kupenyeza ajenda zao kwa mgongo wa kutetea demokrasia.
Ndio maana uchina ameamua kujiweka mbali na huu mfumo kwa kuwa ndani yake kuna ajenda nyingi za western power. Ulazimishwaji wa demokrasia umeleta mabalaa mengi duniani kuliko faida.
Lissu hana issue amemuogopa Magufuli kwa kiwango cha juu zaidi, hafai kwa mapambano bado sana, anafanya siasa nje nchi kwa niaba ya Tz lakini Nchini kwenyewe anashindwa kukanyaga.Habari hii ni kwa mujibu tweet ya International Democratic Union:
We are pleased to confirm Hon. Tundu Lissu’s participation at the #IDUForum2020. Tundu Lissu is Vice-Chairman of @ChademaTz and was Presidential candidate in the recent elections in #Tanzania, which have been an example for an unfree, unjust and unrightful voting process.