Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

This post is reserved for future reference.
 
Wanafanya video conference ama teleconference..

Mbona kama mleta uzi umetuachia wenyewe.
Tatizo tunasoma msg za JF na kujisahau. Hawa ni watu wanaohangaika kuonesha kwamba Lissu ni muhimu sana! Hakuna jambo kama hilo. Walitunga hadithi kwamba atafanya Mdahalo na marais wa nje, akiwemo rais wa Ghana mwezi uliopita. Je, uliskia chochote? Ni mbimu ya wasio na shule kulazimisha umuhimu wa Lissu.
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .

Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF

=======
Mkuu
Hujatutendea haki, lete link
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .

Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF

=======
Mbona hutupi update? Au wamegoma? Labda balozi wa Ubelgiji vipi yupo TZ?
 
mabalozi nawo wapo ndani ya Tz mkuu
 
Mkuu waamuzi wangekuwa ni watanzania police na wengine wasingetumika kuiba kura kwa manufaa ya mtu mmoja
 
Magufuli kajitakia hizi shida zote kwa kubinya upinzani for the last 5 years akidhani amewamaliza.

Sasa CDM wamekuwa kama dhahabu this time, coz watu walishawamisi sana. Kwa njia hii, Magufuli aliamini kwamba uchaguzi utakuwa mwepesi sana kwake, lakini kinyume na matarajio yake uchaguzi umekuwa mgumu sana kwa ccm kuliko chaguzi zote za nyuma, coz hawakujiandaa kabisa na upinzani wa aina hii.

Jumlisha na umahiri wa Lisu kisheria na kisiasa, unapata picha kamili kwamba ccm wama hali mbaya sana.
 
Well said mkuu[emoji122][emoji122]
 
Huyu Lisu hata huko Chadema wamemchoka kwa sababu kila analoambiwa lazima abishe yeye anajua kila kitu na wengine wote hawajui sasa wamemuacha anendelee kama gari bobu lisilo na breki. Hivi kweli Tanzania ipo tayari kuongozwa na rais wa modeli ya Lisu?
 
Mabalozi wanakutana na watu wenye akili timamu tu km Tundu Lissu
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .

Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF

=======
Ukiwa msaliti usiwe na aibu
... unaenda kuongea na mabalozi katikati ya uchaguzi kuhusu nini kama sio kusambaza uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…