Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Hai kesho (Sept 29). Atarajiwa kufanya mikutano mitatu ndani ya jimbo hilo kama walivyofanya Slaa na Lowassa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Hai kesho (Sept 29). Atarajiwa kufanya mikutano mitatu ndani ya jimbo hilo kama walivyofanya Slaa na Lowassa

dikteta2020

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
595
Reaction score
3,991
Kesho mwamba na mwamba wanakutana Hai ambapo Tundu Lissu anatarajiwa kufanya mikutano mfululizo jimbo la Hai na atakuwa na mkutano jimboni huko pekee pamoja na mwenyeji wake Freeman Mbowe.

Huyu atakuwa mtu wa tatu kulirarua vilivyo jimbo la Hai baada ya Slaa (2010) na Lowassa (2015) kufanya mikutano mitatu kila mmoja jimboni humo.

Tundu Lissu naye anatarajia kufanya mikutano mitatu tofauti ndani ya jimbo hilo kabla ya kuambatana na Mbowe kwa Chopa kuanza kuizungukia sehemu ya Tanzania iliyobakia.
 
Kesho mwamba na mwamba wanakutana Hai ambapo Tundu Lissu anatarajiwa kufanya mikutano mfululizo jimbo la Hai na atakuwa na mkutano jimboni huko pekee pamoja na mwenyeji wake Freeman Mbowe.

Huyu atakuwa mtu wa tatu kulirarua vilivyo jimbo la Hai baada ya Slaaa (2010) na Lowassa (2015) kufanya mikutano mitatu kila mmoja jimboni humo.

Tundu Lissu naye anatarajia kufanya mikutano mitatu tofauti ndani ya jimbo hilo kabla ya kuambatana na Mbowe kwa Chopa kuanza kuizungukia sehemu ya Tanzania iliyobakia.
Hataifikia nyomi hii
IMG-20200928-WA0035.jpg
 
MAFURIKOOOO,lowasaaaaaaaaa

LOWASSA,mafurikooooooo

mwisho wa siku,chiiiiiiiiii jeeeeeesuuuuj.
 
Yule Mh sana mwenye wilaya safari hii atakuja na kioja gani!? Kwanza mabango ya kumpinga mgombea ameyatayarisha?
 
Back
Top Bottom