Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa kesi ipi ?Write your reply. Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela
AmeishakusomaNingependa kwenye mada yake aoneshe namna bora ya kuyahusisha makundi mengine kwenye jamii kwenye kudai Katiba Mpya.
Mkuu, nguvu na muda wako ni muhimu sana kwa mambo ya maana..achana na huyo mwehu.Kwa kesi ipi ?
lisu ana kesi nyingi sana mahakamani, au umesahau ? huyu akirudi ni moja kwa moja jelaKwa kesi ipi ?
Kapona....? Si tulisikia operesheni ya 25 juzi
ni kweli ila hospitali zile siyo BugandoKapona....? Si tulisikia operesheni ya 25 juzi
😆😆😆..operesheni zinazofanyika hospitali ya mzena ndio wagonjwa huwa hawaponi.
Hii ni MADA ya wanasiasa wanaotafuta unafuu wa kupenya kuingia IKULU.Ningependa kwenye mada yake aoneshe namna bora ya kuyahusisha makundi mengine kwenye jamii kwenye kudai Katiba Mpya.
Hii issue huko tuendako inatakiwa ifanywe ionekane ya kitaifa zaidi, kuanzia walemavu, machinga, wanamichezo, wanasiasa, viongozi wa dini, asasi za kiraia, wote lugha yetu iwe moja tu; Katiba Mpya.
Mkuu umepiga kunako mahala pabaya. Umegusa penyewe. Harudii tena...operesheni zinazofanyika hospitali ya mzena ndio wagonjwa huwa hawaponi.
Ule mwili unatakiwa ufukuliwe halafu unyongwe kwa mauaji ya halaiki,kutesa,kuumiza,kuteka na kumpinga risasi Lisu.Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
Mkuu umepiga kunako mahala pabaya. Umegusa penyewe. Harudii tena.
Hii ni MADA ya wanasiasa wanaotafuta unafuu wa kupenya kuingia IKULU.
Wananchi MADA yetu ni MAENDELEO STAHIMILIVU pamoja na huduma bora za kijamii.
Mkuu umepiga kunako mahala pabaya. Umegusa penyewe. Harudii tena.
Ficha ukichaa wakoUle mwili unatakiwa ufukuliwe halafu unyongwe kwa mauaji ya halaiki,kutesa,kuumiza,kuteka na kumpinga risasi Lisu.
Kisha Lisu alipwe fidia.