Inashangaza kwamba kuna watanzania bado wanaishabikia ccm, mara nyingi ni kwa ajili ya matumbo yao tu.Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu...
Kasome maadili ya uchaguzi mkuu wa 2020Weka kifungu cha sheria. Na wapi amehutubia Kisukuma? Au hiyo chomekea ndio hotuba?
Hoja hapa ni upende usipende[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Rais wa wapumuliwa visogoni, siko kundi hilo mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Rais wa wapumuliwa visogoni, siko kundi hilo mkuu.
Ukiambiwa utoe ushahidi juu ya chadema kupanga njama za kumshambulia lisu utautoa huo ushahidi,kuwa makini na uwandishi wako,maana mpaka sasa aliemshambulia lisu hajajulikana nawe ukae kimyaaHuyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu..
"Kuhutubia kwa Kisukuma unajua kwenye sheria za uchaguzi imekatazwa?"Kuhutubia kwa Kisukuma unajua kwenye sheria za uchaguzi imekatazwa?
Kama umeenda shule utaelewa nazungumzia nini.
Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu...
Chuki ipi? Itaje tafadhari.Tukiwa wakweli mkuu, kati ya Lissu na Magufuli nani mpaka sasa amevunja waziwazi kanuni za uchaguzi?
Unafuatilia kwa makini mikutano ya kampeni ya mgombea wako kanda ya ziwa?
Kuna chuki kubwa sana anaimwaga kule na makosa na ukiukwaji mkubwa unafanyika mule.
Lissu alipokuwa Singida haKuwa anahutubia kikwao [kinyaturu]? Mbona magufuli hata akienda mbeya husalimia kinyakyusa kwani ni mnyakyusa?Kuhutubia kwa Kisukuma unajua kwenye sheria za uchaguzi imekatazwa?
Kama umeenda shule utaelewa nazungumzia nini.
Kuna kitu anatafuta, kwa lugha ya kitaalamu tunaita 'false flag' event.Ahaaaa. Sasa kwa nini Lissu anahangaika kupanda ndege ambazo zimefunguliwa nati ili afe?
Tukiwa wakweli mkuu, kati ya Lissu na Magufuli nani mpaka sasa amevunja waziwazi kanuni za uchaguzi?
Unafuatilia kwa makini mikutano ya kampeni ya mgombea wako kanda ya ziwa?
Kuna chuki kubwa sana anaimwaga kule na makosa na ukiukwaji mkubwa unafanyika mule.
Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu.
Mgombea urais ambae unatafuta kuwa rais wa JMT huwezi kuongea hoja ambazo hata mtu ambae hana akili timamu hawezi kuziamini. Mfano mgombea urais unasimama jukwaani na kusema eti Serikali inatengeneza njama za kuweka itilafu kwenye ndege unayosafiria ili upate ajali. Sasa kama una hakika na hili kwa nini usichukue hatua stahiki. Maana ndege unayosafiria ni ya kukodi. Sasa hao wamiliki wa hiyo ndege kwa nini usiwashitaki kwa kushiriki kupanga njama kubwa kama hizo? Maana hilo sio jambo dogo.
Unaenda Zanzibar bila aibu na bila kutumia busara unatamka kuwa, upinzani umekuwa unashinda uchaguzi wa Zanzibar tokea mwaka 1995. Je, unao ushahidi juu ya hili? Unaenda Zanzibar unadai kuwa eti Tanganyika inapeleka ubabe wake wa kijeshi Zanzibar je hiyo Tanganyika unayoisema ni ipi? Maana ibara ya pili ya katiba ya JMT ilifuta kitu kinachoitwa Tanganyika.
Sina mengi ya kusema ila wewe mgombea wa urais wa Chadema hakuna unachotafuta. Hii ni kwa sababu wewe unajitambua hufai kuwa rais wa JMT bali unaeneza siasa za chuki ili kuleta mifarakano na chuki ambayo matokeo yake ni vurugu.
Nashangaa na watu wanaojinasibu kuwa ni vipanga, wabobezi wa masuala mbalimbali wanasema ni genius na Zawadi kutoka kwa mungu!!!! Huyu ni mkosi tu. TL dish limeyumba si bure maana yeye ana kinyongo na JPM. Nadhani angeonana na JPM ana kwa ana angeralula kwa meno yake.Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu.
Mgombea urais ambae unatafuta kuwa rais wa JMT huwezi kuongea hoja ambazo hata mtu ambae hana akili timamu hawezi kuziamini. Mfano mgombea urais unasimama jukwaani na kusema eti Serikali inatengeneza njama za kuweka itilafu kwenye ndege unayosafiria ili upate ajali. Sasa kama una hakika na hili kwa nini usichukue hatua stahiki. Maana ndege unayosafiria ni ya kukodi. Sasa hao wamiliki wa hiyo ndege kwa nini usiwashitaki kwa kushiriki kupanga njama kubwa kama hizo? Maana hilo sio jambo dogo.
Unaenda Zanzibar bila aibu na bila kutumia busara unatamka kuwa, upinzani umekuwa unashinda uchaguzi wa Zanzibar tokea mwaka 1995. Je, unao ushahidi juu ya hili? Unaenda Zanzibar unadai kuwa eti Tanganyika inapeleka ubabe wake wa kijeshi Zanzibar je hiyo Tanganyika unayoisema ni ipi? Maana ibara ya pili ya katiba ya JMT ilifuta kitu kinachoitwa Tanganyika.
Sina mengi ya kusema ila wewe mgombea wa urais wa Chadema hakuna unachotafuta. Hii ni kwa sababu wewe unajitambua hufai kuwa rais wa JMT bali unaeneza siasa za chuki ili kuleta mifarakano na chuki ambayo matokeo yake ni vurugu.
Usituchoshe na hadithi za alfu ulela ulelaYapi hayo, fafanua ukiwa na ushahidi. Maana hili la ndege kufunguliwa nati ili afe hata kiziwi analijua
Nashangaa na watu wanaojinasibu kuwa ni vipanga, wabobezi wa masuala mbalimbali wanasema ni genius na Zawadi kutoka kwa mungu!!!! Huyu ni mkosi tu. TL dish limeyumba si bure maana yeye ana kinyongo na JPM. Nadhani angeonana na JPM ana kwa ana angeralula kwa meno yake.
Hivi gari alilokuwemo wakati hizo risasi zikipigwa lilikuwa la left hand? Maana ubavu uloumizwa ni wa kulia.