Mimi sipendi hearsays kama kwenye kahawa. Kama uno ushahidi tupandikiwe hapa. Jecha alifuta matokeo sababu kuna mtu alifanya makosa akajitangaza kuwa ameshinda.
Weka ushahidi wa matokeo ya upinzani kushinda Zanzibar tokea 1995.
Mkuu unaweza kuprove kitu kwa oral evidence au contents of documents.Ww unayo kopi orijino?
Najua evidence act vizuri kuliko we
Ouster clause sijaikariri nimeielewa na ndiyo hoja inayofutilia mbali huo ushahidi unaoutaka wa kutaka kupewa ushahidi wa kitu ambapo hakihojiwi mahakamani au hakichunguzwi na chombo chochote.
Wewe ni 'zwazwa' usiyejua lolote.Weka kifungu cha sheria. Na wapi amehutubia Kisukuma? Au hiyo chomekea ndio hotuba?
Kwanza hafai yaani anakanyaga katiba na kunajisi umoja wa kitaifa,alafu anadhani kutimiza wajibu wake kama rais kwa mujibu wa katiba na kiapo kwa wananchi ni kuwanyia hisani,mtu dizaini hii hajui hata chembe ya uongozi yaani huko ccm sijui wameishiwa watu au vipi,kiufupi wajinga ndio wanaweza mpigia kura Magu maana anafanya mambo kienyeji wakati ni hatari kwa ustawi wa taifa na anaachwa tuTukiwa wakweli mkuu, kati ya Lissu na Magufuli nani mpaka sasa amevunja waziwazi kanuni za uchaguzi?
Unafuatilia kwa makini mikutano ya kampeni ya mgombea wako kanda ya ziwa?
Kuna chuki kubwa sana anaimwaga kule na makosa na ukiukwaji mkubwa unafanyika mule.
mkumbushe dawa zake na maji kwa wingi, pia!Umekula chakula lakini???
Maana na pressure uliyonayo plus spana za Lissu unaweza kufa ndugu!!!😂😂😂
😂😂😂😂😂mkumbushe dawa zake na maji kwa wingi, pia!
Wewe nae ni mtetezi wa Chadema mitandaoni! Umeishia darasa la ngapi?Aisee nimefuatilia kampeni za Mgombea Lissu tangu mwanzo, hakuna mahala aliposema anahtaji kura za huruma! Hoja zake zinabamba haswaa sio blablaa!
CCM wameshapoteana kila siku watu wanaitana kuongeza nguvu kumkabili mtu mmoja! Tatizo kubwa CCM na wafuasi wake tayari mlishajenga kajitabia kakutotaka kuambiwa ukweli au kulazimishwa kutenda haki!
Hayo kwernu ni uchochezi, ni matusi! Jipangeni kisaikolojia! Tumeshamsikia hata mgombea wenu anazungumzia aonewe huruma na yeye apitishwe bila kupingwa kama walivyowapitisha baadhi ya wabunge na madiwani!
Mungu akwamishe kabisa mchezo huo mchafu na wote wanaopanga njama hizo washindwe na wapate anguko kuu!
Nyani haoni...Wamejipa upofu wa kuona hayo yanayofanywa na Jiwe na watu wake.Mama Samia naye kanogewa na damu zetu,anaposema askari ya CCM Mpya hawapigi zaidi ya risasi tatu kama vile wanashambuliwa ni wanyama pori.Risasi za nini tena?Tukiwa wakweli mkuu, kati ya Lissu na Magufuli nani mpaka sasa amevunja waziwazi kanuni za uchaguzi?
Unafuatilia kwa makini mikutano ya kampeni ya mgombea wako kanda ya ziwa?
Kuna chuki kubwa sana anaimwaga kule na makosa na ukiukwaji mkubwa unafanyika mule.
Sheria ya ushahidi inasema ushahidi wa document ni superior than oral evidenceMkuu unaweza kuprove kitu kwa oral evidence au contents of documents.
Nimeuliza uliona hizo document zikisainiwa? Tundu Lissu aliona? Mnazo kopi original? Hata kama sio mahakamani mnaweza kutueleza hapa jukwaani.
Swali langu la mwisho ambalo nataka majibu ni je Tanzania kuna jeshi la Tanganyika, ambalo linakaa kwa mabavu Zanzibar?
Ni kweli jeshi hilo lipo haina ubishi rejea kitabu cha Dr harith ghassany kwaheri ukoloni kwaheri UhuruWewe nae ni mtetezi wa Chadema mitandaoni! Umeishia darasa la ngapi?
Mgombea urais kusema kuna jeshi la Tanganyika linalowakalia kimabavu wazanzibari ni ukweli?
Kama kuna watu walifanya njama ili ndege yake ianguke kwa nini asiwashitaki?
Ila kwa haraka tu wewe ni mbumbumbu ambae unadakia mambo makubwa.
Ushahidi wa document ni superior than oral? Mh hii ulisomea wapi? Au kifungu gani cha TEA?Sheria ya ushahidi inasema ushahidi wa document ni superior than oral evidence
Unataka upewe copy original wakati hizo original zina matokeo feki
Ulitakiwa uombe document kutoka vituoni vya kupigia kura hivyo ndiyo vinatoa Picha halisi kwenye majumuisho ya kura
Unataka nieleze jukwaani wakati hakuna kitakachotendeka but rather mods watafuta tu
Jeshi la Tanganyika liko Zanzibar since 1960s au hujui?
Lissu kasema uhalisia.Sasa kama ndio hivyo kuwa ni suala ambalo halihojiwi na kuchunguzwa na chombo chochote, Lissu alipata mamlaka gani ya kuchunguza? Ana mamlaka gani ya kusema upinzani ulishinda Tangia 1995?
Liliingia Zanzibar likiwa kama Jeshi la JWTZ au lilingia kama AFRICAN RIFLES?Kwa hiyo Jwtz ni jeshi la Tanganyika? Chadema kweli ina watu!