Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,397
Mimi sipendi hearsays kama kwenye kahawa. Kama uno ushahidi tupandikiwe hapa. Jecha alifuta matokeo sababu kuna mtu alifanya makosa akajitangaza kuwa ameshinda.
Weka ushahidi wa matokeo ya upinzani kushinda Zanzibar tokea 1995.
Jecha angetangaza MATOKEO HALALI bila KUJALI nani kasema nini kungekuwa na SHIDA GANI?
MEMBE AKISEMA, KWA TATHIMINI YAKE AMESHINDA UCHAGUZI, UCHAGUZI UTAFUTWA?
ZANZIBAR KURA ZA MUUNGANO NI "YEYE" NA ZANZIBAR NI "MAALIM"