Naomba nikuulize.
Zanzibar ni NCHI au ni sehemu ya TANZANIA kama Mtwara, Mbeya, Mwanza, Kagera, Mara, Dodoma, Dar es salaam, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Simiyu, Singida, Tabora, Kigoma, Ruvuma au Geita?
Je, Watanzania wa Bara Wenye shahada za kupigia kura wanaruhusiwa kupiga kura kumchagua Rais wa Serikali MAPINDUZI ya Zanzibar?
Je, Zanzibar kuna IKULU ambayo ni makazi ya Rais wa Serikali ya MAPINDUZI ya Zanzibar?
Zanzibar kuna ZEC na Bara kuna NEC,
Je, Viongozi wa ZEC huteuliwa na nani?
Je, WAGOMBEA wa Nafasi za Uongozi wa nafasi za KISIASA Zanzibar ni Wazanzibar tu au na Wabara wanaruhusiwa KUGOMBEA?
NINI MAHUSIANO YA ZEC NA NEC?
Kwa Nini TUME YA UCHAGUZI isiwe moja?
Je, Rais wa Serikali ya MAPINDUZI ya Zanzibar anaweza kutangaza VITA DHIDI YA ZANZIBAR?