Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifa!Nawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu.asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
Umenikumbusha mbali sana Mkuu na bila Tundu Lissu inawezekana hata mapoyoyo wasingekuwemo humu maana Serikali ya CCM walivyokuwa wanamnyanyasa Maxence Melo. Hii JamiiForums ingekuwa haipo lakini kwa msaada wa kisheria Maxence alisimama imara na akashinda...tutamlipia hiyo fee ili akatutetee.
..kwa taarifa yako Lissu alikuwa wakili wa Jamii Forums wakati ule mwanasakamwa mahakamani.
Watoto wa Mwendakuzimu Jiwe nawakumbusha tu, Baba yenu alipoanzisha vita na Lissu hakufanikiwaNawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu.asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
Cha ajabu ni kwamba kwa sasa jf imekuwa jukwaa la kusifia n kupongeza ccm. Ukituma thread ya kukosoa inatupwa kapuni bila maelezo🤔Umenikumbusha mbali sana Mkuu na bila Tundu Lissu inawezekana hata mapoyoyo wasingekuwemo humu maana Serikali ya CCM walivyokuwa wanamnyanyasa Maxence Melo. Hii JamiiForums ingekuwa haipo lakini kwa msaada wa kisheria Maxence alisimama imara na akashinda.
Cha ajabu ni kwamba kwa sasa jf imekuwa jukwaa la kusifia n kupongeza ccm. Ukituma thread ya kukosoa inatupwa kapuni bila maelezo🤔
Kwenye uwakili siyo swala la kulipa fee pekee.Nawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu.asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
Wewe ni tatizo.Nawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu. Asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
View attachment 2495680
Na ni LISSU aliyetoa wazo la kutumia handle za Jamii Forum Kenya.Umenikumbusha mbali sana Mkuu na bila Tundu Lissu inawezekana hata mapoyoyo wasingekuwemo humu maana Serikali ya CCM walivyokuwa wanamnyanyasa Maxence Melo. Hii JamiiForums ingekuwa haipo lakini kwa msaada wa kisheria Maxence alisimama imara na akashinda.
chuki nayo ni mimba tafuta limao uleNawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu. Asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
View attachment 2495680
Sisi wananchi tutamhuishiaNawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu. Asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
View attachment 2495680
so what? umefurahi? Zuzu kabisaNawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu. Asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
View attachment 2495680
Halafu ukitukanwa utajinunisha kwa kukosa akili?Nawakumbusha tu asije akawatapeli,kwa sasa sio wakili kwenye mahakama zetu. Asije akawadanganya mkampa pesa akawapiga.
View attachment 2495680