Asylum ndio chanzo Cha yote anakua limitedTundu Antipas lissu wa 2015 -2020 sio huyu wa Leo 2023...lissu wa Sasa ameporomoka hata hoja anazojenga hazina nguvu Tena ..labda ni kwa sababu mara nyingi amekuwa akirudia hoja zile zile!! Sijajua wazungu wamemfanyaje Huko alikotoka !! Ajitafute upya huyu sio lissu tunayemjua
Tulimwambia aachane na kumtukana Magufuli hakusikia. Anavuna alichopandaTundu Antipas lissu wa 2015 -2020 sio huyu wa Leo 2023...lissu wa Sasa ameporomoka hata hoja anazojenga hazina nguvu Tena ..labda ni kwa sababu mara nyingi amekuwa akirudia hoja zile zile!! Sijajua wazungu wamemfanyaje Huko alikotoka !! Ajitafute upya huyu sio lissu tunayemjua
Lissu kisiasa amemaliza kila likizo ndio anakuja Tz kubabaisha lakini sasa maisha yake hawezi tena kuikosa Belgium, wameuza chama yeye na mwenyekiti Mbowe, upinzani wa Kweli Tanzania hauwezi kudumu njaa ni kitu kibaya sana waliwalaumu kina Mdee, Lijuakali, kafulila na kina waitara kumbe wote jora moja muda ulikuwa haujafika tu.,Tundu Antipas lissu wa 2015 -2020 sio huyu wa Leo 2023...lissu wa Sasa ameporomoka hata hoja anazojenga hazina nguvu Tena ..labda ni kwa sababu mara nyingi amekuwa akirudia hoja zile zile!! Sijajua wazungu wamemfanyaje Huko alikotoka !! Ajitafute upya huyu sio lissu tunayemjua
Mabeberu wameharibu njia ya haja,hafai,pako waz,seal haipo tena [emoji41]Tundu Antipas lissu wa 2015 -2020 sio huyu wa Leo 2023...lissu wa Sasa ameporomoka hata hoja anazojenga hazina nguvu Tena ..labda ni kwa sababu mara nyingi amekuwa akirudia hoja zile zile!! Sijajua wazungu wamemfanyaje Huko alikotoka !! Ajitafute upya huyu sio lissu tunayemjua
Tundu Antipas Lissu wa 2015 -2020 sio huyu wa Leo 2023...Lissu wa Sasa ameporomoka hata hoja anazojenga hazina nguvu Tena ..labda ni kwa sababu mara nyingi amekuwa akirudia hoja zile zile!! Sijajua wazungu wamemfanyaje Huko alikotoka !! Ajitafute upya huyu sio Lissu tunayemjua
Ukiona bado unamfuatilia ujue anakitu cha ziada ni muda tuTundu Antipas Lissu wa 2015 -2020 sio huyu wa Leo 2023...Lissu wa Sasa ameporomoka hata hoja anazojenga hazina nguvu Tena...labda ni kwa sababu mara nyingi...
Hoja zilezile kwenye masikio na mahali tofauti ndivyo viongozi wote wafanyavyo. CCM imekuwa ikirudia hoja za Tanu za kabla ya uhuru za ujenzi wa barabara, hospitali na shule kwenye masikio tofauti.Tundu Antipas Lissu wa 2015 -2020 sio huyu wa Leo 2023...Lissu wa Sasa ameporomoka hata hoja anazojenga hazina nguvu Tena...labda ni kwa sababu mara nyingi amekuwa akirudia hoja zile zile!! Sijajua wazungu wamemfanyaje Huko alikotoka!!
Ajitafute upya huyu sio Lissu tunayemjua