Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kwenye mikutano yako ongelea suala la kurudisha Bunge Live, kurekebisha Makato ya Bodi ya Mikopo na suala zima la Mafao ya Wastaafu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kwenye mikutano yako ongelea suala la kurudisha Bunge Live, kurekebisha Makato ya Bodi ya Mikopo na suala zima la Mafao ya Wastaafu

Kamanda Lissu; nakushauri,pamoja na mambo mengine; usisahau kuongelea mambo hayo matatu yanayogusa na kuumiza wananchi wengi wa nchi kama ulivyozungumzia suala la TRA na wafanyabiashara pamoja na swala la wafanyakazi kutoongezewa mishahara Siku ya jana mkoani Morogoro.

Awamu hii ya tano imepuuza wananchi kwa kiwango kikubwa mno na matokeo yake imepoteza mvuto mbele ya wananchi kwa kiasi kikubwa mno.

Kuiangusha CCM hii panapo Tume Huru, ni sawa na kusukuma mlevi na hata pasipo Tume Huru, bado tunaweza tu kuipiga mweleka kwa kutokubali kuibiwa kura.

Waacheni wategemee viongozi wa dini sisi tujikite kwa wapiga kura maana wao hawana la kuwaambia.
Lissu anatakiwa azungumze pia kuhusu hospital hali nitete tunatozwaza hela nyingi sana hata ngonjwa wako akifa wanakuletea bill fake za mamilioni ya fedha.

Tunambo Lissu atauambie atafanyaje hospitali hali ni mbaya sana kuna jamaa yangu alipata ajali akapelekwa hospita moja dar kwakua ndugu tulichelewa kupata taarifa siku ya nne tulikuta mwili umeoza kitandani hata kupelekwa mochwari walishindwa kumpeleka.
 
Lissu anatakiwa azungumze pia kuhusu hospital hali nitete tunatozwaza hela nyingi sana hata ngonjwa wako akifa wanakuletea bill fake za mamilioni ya fedha.

Tunambo Lissu atauambie atafanyaje hospitali hali ni mbaya sana kuna jamaa yangu alipata ajali akapelekwa hospita moja dar kwakua ndugu tulichelewa kupata taarifa siku ya nne tulikuta mwili umeoza kitandani hata kupelekwa mochwari walishindwa kumpeleka.

Duh aibu sana hii!
 
Leo huamini nguvu ya Bagonza na Dr shoo? Huo ushauri wako ndio unampiteza kabisa mgombea wako,bunge live linamsaidia Nini mkulima wa kawaida anaeshinda shamba kutwa?

Uchaguzi wa mwaka huu utakua mwepesi sana kwa ccm,inaonekana chadema mtakosa kabisa hoja.
Yani kama huyu eti ndo wakuumpa maneno lissu yakuongea kweli chadema mmefeli.
 
Hivi mnapomshauri vitu vya kuongea ina maana yeye kama mgombea hajui ni mambo gani anatakiwa afanye. Inaonekana kama nyinyi wapiga kura mna ajenda zenu na yeye ana ajenda zake
 
Duh aibu sana hii!
Hii serekali niya kishamba sana eet wameweka sistem za malipo hospitalin za serekal kamakulivyo bandarini wanashindwa kutofautisha binadamu na ma container unweza kuwe sytem ya malipo hospital wakati huna sever una host SouthAfrica Mtando uki chini ngonjwa wako anakufa hawezi kupata matibabu hata kama unahela ya kulipia Lissu alizungumzie
 
Back
Top Bottom