Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Tena kwa kutumia vyombo vya habari hasa magazeti, kwasababu magazeti kipindi kile yalikuwa huru na hivyo kuwawezesha kufanya utafiti wa hali ya juu bila hata restrictions zozote zile.

Nakumbuka magazeti kama, Mwanahalisi, Mawio, Mseto, Freemedia n.k
Madudu ya akina Mkapa yalikuwa yanawekwa wazi, tofauti na tulivyoamishwana miaka hii mitano.
 
Sasa mimi na wewe alie panic nani?usikimbie, usininunie, kadi ya CCM ulinipa lini? unaamini speculations zako unataka nizikubali? wacha utoto.

Call it propaganda or anything, I repeat, this is my personal decision, Lissu kwangu sio mwanasiasa ukubali ukatae.

Mmemjaza amekuwa na kichwa kikubwa hasikii tena anachoambiwa, anajidanganya ana wafuasi wakati wakihitajika rodi hawatokei, now amebaki kuandika tu twitter, anatakiwa ajifunze kwa kina Bobi Wine.

Halafu huyo Mbowe huko Chadema huwa hajiweki mbona mgumu sana kuelewa hili? huwa anapigiwa kura yule, najua Lissu ni kipenzi chako ukubali/ukatae.

Lissu ndio alikufanya ukaenda kupiga kura, bila yeye kugombea usingepiga kura, ulisema mwenyewe maneno haya usiwe mnafiki, ndio maana hii move yangu imekuuma hadi unaropoka maneno ya ajabu ajabu coz nimegusa kipenzi chako unataka kulia, au sijui umeshaanza kulia!. pole.

Then again, sijui Mbowe amekubali porojo gani za CCM, unapenda kuendeshwa kwa mihemko ya Lissu ndio maana, yule Mbowe busara iko pale.

This is politics, kama ulikuwa huijui ndio uijue sasa, and above all, this is democracy sio lazima tufanane kila kitu kila wakati, ukipenda kuendelea ku-shout the choice is yours dude, take a glass of water and get on with your life, usijitese.

Now kama Mbowe hafai ukaambiwa sema unataka nani awe mwenyekiti lakini hukuwahi kujibu hili swali, mpaka leo bado umekariri tu Mbowe hafai, mbadala huna!
 

Anatuchezea akili lisu ,sababu ya marehemu magu kutumbuka kila mala ni upigaji kama huo unataka kutuaminisha kwamba angekuwepo asingetumbua watu leo , ebu mpe heshima magu kafanya mengi makubwa
 

Legacy yake imeisha vip? Kwa sababu ya hizo issue mbili ambazo hazina lolote jipya?
 
Alikubali lini kuwa kashindwa urais? Kila siku anadai alishinda.

Washirika wake mpaka wakapeleka malalamiko yao huko Uholanzi kuwa wameibiwa kura!
Wewe kimekuuma nini mpaka useme hawezi kuwa rais?, tatizo mnajiona mko sawa na Mungu, na Mungu hatakubali kuwa sawa na binadamu aliowaumba yeye mwenyewe.
 
Amechoka akili huyo muache apumzike.
 
Imeanza kusambaratika.

I thought everything must survive the test of time before people can make a conclusion?
Mwinyi alisema ila akaja kupata sifa zake baadae. Mkapa hivyo hivyo. Hata JK pia.
TL ana shida zake binafsi na JPM. Ndio maana angependa kuona hivyo ingawa sidhani kama itakuwa hivyo.
Tukumbuke aliyeshikwa na ngozi ndio amekula nyama. Hawa wajinga wengine hawana kinga yoyote, halafu wanaiba wakidhani wataogopwa wanachekesha sana. Tena ikithibitika waadhibiwe vitali. Iwe fundisho
 
Tujadili hoja zaidi kuliko watu.

Hata watu wenye matatizo ya ubongo wanaweza kutoa hoja nzuri mara mojamoja.

Na watu unaowaheshimu wakakosea.

Waingereza wanasema hata saa iliyosimama huwa inakuwa sawa angalau mara moja kila siku.
Nimekuelewa, nina sababu yangu nje ya siasa inayonifanya kufanya hiki ninachokifanya hapa, nivumilie tu kwa wakati huu.
 
Lissu atambue kwamba hakuna miradi ya Magufuli labda Kama anamaanisha miradi ya nyumbani kwake Magufuli pale alipozikwa
 
Unataka kuambiwa nini kujua Atcl imefeli? Ipate hasara miaka kumi?
 
Mataga mmepatwa kisawasawa
 
Alikubali lini kuwa kashindwa urais? Kila siku anadai alishinda.

Washirika wake mpaka wakapeleka malalamiko yao huko Uholanzi kuwa wameibiwa kura!
Wafiwa acheni nongwa, malizeni matanga kwanza ndo mje kumwaga mapovu yenu JF.
 

Mkuu sijakuambia tunza hii post kwa bahati mbaya. Tutaichakata vyema hapo baadae.
 
Kimsingi hakuwa na consistance kwenye kauli zake, ila kuwa kamaliza ufisadi hilo alikuwa halisemi mara moja, yeye au wapambe wake. Acha serikali ya ccm hata ingekuwa ya Republican hakuna anayejali, tunachojua Mungu kaamua kufanya mabadiliko bila kumwaga damu. Huyo Mama Samia aendeleze yale sahihi yaliyoachwa na mtangulizi wake hatuna tatizo na hilo maana hii ni Tanzania, yaani ni zaidi ya serikali ya ccm. Lakini sio kuteka na kuua wapinzani kisa anajenga daraja, sijui reli. Akienda kinyume na haki atafurahia show.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…