Pitia post yangu uliyoniquote kama nimemtaja Lisu popote, ni aidha umepanick au unajishuku. Kuhusu Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 15, suala sio kuwa matured maana alikuwa hagombei na Lisu.
Hilo la kwamba Lisu ni mwanaharakati ni tafsiri ya huko ccm, na hii tulilisikia hata Slaa alipokuwa mwiba kwa ccm kuwa ni mwanaharakati. Alipotoka cdm akawa anamwagiwa sifa kuwa alikuwa mpinzani wa kweli! Linapokuja suala la busara sioni kama ni tatizo, maana kama Magufuli alikuwa hana busara na Kawa rais, sijui utaniambia nini. Hakuna anayemfikia Mbowe? Au ni kwakuwa huwa anawakubalia ccm porojo zao kirahisi? Nasema hivi, unafiki huwa una mwisho wake. Ww tapika propaganda zako mfu za ccm lakini nimekufahamu vizuri, hutaki kunywa sumu ufe fullstop.
Sasa mimi na wewe alie panic nani?usikimbie, usininunie, kadi ya CCM ulinipa lini? unaamini speculations zako unataka nizikubali? wacha utoto.
Call it propaganda or anything, I repeat, this is my personal decision, Lissu kwangu sio mwanasiasa ukubali ukatae.
Mmemjaza amekuwa na kichwa kikubwa hasikii tena anachoambiwa, anajidanganya ana wafuasi wakati wakihitajika rodi hawatokei, now amebaki kuandika tu twitter, anatakiwa ajifunze kwa kina Bobi Wine.
Halafu huyo Mbowe huko Chadema huwa hajiweki mbona mgumu sana kuelewa hili? huwa anapigiwa kura yule, najua Lissu ni kipenzi chako ukubali/ukatae.
Lissu ndio alikufanya ukaenda kupiga kura, bila yeye kugombea usingepiga kura, ulisema mwenyewe maneno haya usiwe mnafiki, ndio maana hii move yangu imekuuma hadi unaropoka maneno ya ajabu ajabu coz nimegusa kipenzi chako unataka kulia, au sijui umeshaanza kulia!. pole.
Then again, sijui Mbowe amekubali porojo gani za CCM, unapenda kuendeshwa kwa mihemko ya Lissu ndio maana, yule Mbowe busara iko pale.
This is politics, kama ulikuwa huijui ndio uijue sasa, and above all, this is democracy sio lazima tufanane kila kitu kila wakati, ukipenda kuendelea ku-shout the choice is yours dude, take a glass of water and get on with your life, usijitese.
Now kama Mbowe hafai ukaambiwa sema unataka nani awe mwenyekiti lakini hukuwahi kujibu hili swali, mpaka leo bado umekariri tu Mbowe hafai, mbadala huna!