Najua pengine ukali wa speech zako kwa namna Fulani unachangiwa na madhila uliyopitia ambayo Mungu wa Rehema alikuepusha.
Labda tu kukushauri unapoanza safari ndefu ya kampeni katika kuwaomba watanzania wakuchague jaribu kuwa moderate unapokuwa unatoa speech zako na pia jikite Zaidi katika kujenga hoja mbadala kupitia ilani ya chama chenu na kuzifafanua kwa kina.
Tukubali ama tusikubali JPM kwa wastani kafanya mambo mazuri sana ndani ya muda mfupi na haswa kwenye ujenzi wa miundombinu.; SGR, Bwawa la umeme, Mabarara, Vivuko, Madege,……nk
Sasa kuwaaminisha watu kwamba wewe unaweza kuyafanya Zaidi ya haya ambayo JPM tayari kasha yaanza mpaka majirani wanatuonea wivu inahitaji convincing power ya hali juu ingawa najua wewe unayo.Ila lazima jasho likutoke.
Na ukumbuke yote mazuri yaliyofanyika yanasemwa kila siku kwenye vyombo vyetu vya habari nchini ambavyo wewe kwa mazingira yaliyopo huna coverage navyo achilia mbali kualikwa kwenye interviews.
Jambo zuri kwenye kampeni hizi wagombea wote ni outspoken speakers
Kila la heri
Labda tu kukushauri unapoanza safari ndefu ya kampeni katika kuwaomba watanzania wakuchague jaribu kuwa moderate unapokuwa unatoa speech zako na pia jikite Zaidi katika kujenga hoja mbadala kupitia ilani ya chama chenu na kuzifafanua kwa kina.
Tukubali ama tusikubali JPM kwa wastani kafanya mambo mazuri sana ndani ya muda mfupi na haswa kwenye ujenzi wa miundombinu.; SGR, Bwawa la umeme, Mabarara, Vivuko, Madege,……nk
Sasa kuwaaminisha watu kwamba wewe unaweza kuyafanya Zaidi ya haya ambayo JPM tayari kasha yaanza mpaka majirani wanatuonea wivu inahitaji convincing power ya hali juu ingawa najua wewe unayo.Ila lazima jasho likutoke.
Na ukumbuke yote mazuri yaliyofanyika yanasemwa kila siku kwenye vyombo vyetu vya habari nchini ambavyo wewe kwa mazingira yaliyopo huna coverage navyo achilia mbali kualikwa kwenye interviews.
Jambo zuri kwenye kampeni hizi wagombea wote ni outspoken speakers
Kila la heri