PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Huu mchongo wa wa Mbowe kupanga kumuondoa Lissu na ndipo Lissu akaamua kumkabili ulishajulikana kitambo na mimi niliufungula uzi humu.Wakuu
Tundu Lissu "Ninajua kuwa Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"
View attachment 3194129
Maridhiano ya sirini hivi sasa yanakwenda kumgharimu Profesa Ndumila Kuwili
Kati ya maagizo ambayo 'Prfesa Ndumila Kuwili' a.k.a KIBWETELE, alipewa ni kuhakikisha 'anaking'oa' meno MADECHA au anainywesha kinywaji kitakachoikata sauti. Katika kuhakikisha hilo linatimia, plan yote ilichorwa nje ya MADECHA na Profesa Ndumila Kuwili kukabidhiwa mpango huo kwa ajili ya...