Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Move ya Mwenyekiti kumleta aliyekula pesa za Abduli ndo ikawa kichocheo zaidi kwa mheshimiwa Lissu kuona kuwa hapa sasa hatuna mwenyekiti bora aende akarekebishe mambo!
Lissu ameshindwa kuthibitisha kama Wenje alikula pesa za Abduli. Alipobanwa akajitetea kuwa mwenye ushahidi ametutoka.
Mtu ambae unaweza kuhisi kwa kiasi kikubwa kuwa alifaidika na hizo pesa ni Msigwa ambae ni rafiki yake mkubwa. Kama ni mkweli kama anavyo tuaminisha anashindwa nini kutuambia Msigwa alitoa wapi pesa za kugombea uchaguzi wa kanda ya Nyasa?

Amandla...
 
Mtoto akililia wembe mpe.

Amandla...
 

Uthibitisho ulitolewa kwenye Kikao cha kamati kuu ya chama, Na mzee Kibao alimtetea Lissu kikaoni kuwa ayasemayo Lissu ni kweli. Siku chche baadae mzee kibao akadedishwa!. Kama Lissu alitoa tuhuma za uwongo mbona chama hakijamchukulia hatua za kinidhamu?.
 
Viongozi Wote wa Chadema mabwana zao wanaowafadhili wako CCM

Bila kufadhiliwa na CCM Benson Kigaila angekufa Njaa ila anaenjoy marupurupu ya bungeni πŸ˜‚
 
Simulizi za redio mbao. Kama Mzee Kibao alimpa ushahidi wa hiyo rushwa Lissu, si atakuwa bado ana nakala? Chama hakikuweza kumchukulia hatua yeyote ya kinidhamu kwa sababu wangefanya hivyo ingekuwa na athari zaidi.

Kwa hiyo sasa mnataka kutuambia kuwa Mbowe alihusika katika kifo cha Mzee Kibao? Bado kidogo tu mtasema alihusika katika kupotea kwa Soka, Ben Saanane n.k. na kupigwa risasi kwa Lissu kama ambavyo inavyodaiwa na wengine!

Tuoneeni huruma.

Amandla...
 
Washamba Washamba wengi tu wamesoma Ilboru labda ukimtoa Pascal Mayalla πŸ˜‚πŸ˜‚

Wajanja wa enzi hizo Shule zao zinajulikana meku πŸ˜‚
Kama yupi? Hamna mshamba anakanyaga pale, mshamba hana akili ya ku perform top schools?
Umesoma pale wewe?
 
Kwahiyo lengo lake ni kumkomoa Mbowe au kunusuru Chama......sidhani kama hayo maneno ni ya Lissu iko smart sanaa hawezi kusema recklessly hivo.
Unataka akufurahishe wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…