Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwa hiyo kumbe hata plan za jinsi atakavyoivusha chadema kama mwenyekiti hana, sababu KUU ya kugombea ni kukomoana? yaani mwaga mboga nimwage ugali? chadema deserves better, man …
Mbona alitoa sera ba dira yake wakati anatangaza nia ya kugombea
 
Haiwez kuwa NCCR instantly..
Ila ukata utaitafuna sana CDM huyo jamaa akishinda.

Atapigwa na usaliti huu anouona kwa Mwenyekiti cha mtoto..

Miaka miwil atarudi Belgium..

Kura kwa upinzani zipo za kutosha ila kwa muktadha na wakati ni mwendo wa kupigwa viatu na matokeo Urais ni asilimia 99[emoji23]
Hizi ni dua za Kuku

Kama Ruzuku ya milioni 100+ inaendesha makao makuu peke yake hapo atashindwa nini? Wakati mikutano yote watu wanachangishana
 
Wakuu

Tundu Lissu "Ninajua kuwa Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"

Pia, Soma:

Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA

Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

View attachment 3194129
Whither CHADEMA?

Chama ndio kinaelekea shimoni bila simile.

Naanza kuamini safari hii CCM wamepata mkakati sahihi wa kubomoa roho ya CHADEMA. Sioni hicho chama kikisimama tena na ile jeuri ya "people's power"
 
Kwahiyo lengo lake ni kumkomoa Mbowe au kunusuru Chama......sidhani kama hayo maneno ni ya Lissu iko smart sanaa hawezi kusema recklessly hivo.
Kuchagua maneno ni kazi sana na hapo ndio leadership figure inapopimwa na utasikia yule hafai kuwa kiongozi
 
Hizi ni dua za Kuku

Kama Ruzuku ya milioni 100+ inaendesha makao makuu peke yake hapo atashindwa nini? Wakati mikutano yote watu wanachangishana
Tupo hapa mkuu,

Ruzuku ya Mil 100 haitaweza kufanya mikutano ya harakati kama anavyotaka tuamini .

Kuna efficiency ya mikutano pia, FAM alikuwa anapiga 8 kwa siku..

Tundu Chopper nani atakkodisha? Usalama wake ni very suspicious kwa kipindi chote kilichobaki, sio CDM sio CCM..
 
Tupo hapa mkuu,

Ruzuku ya Mil 100 haitaweza kufanya mikutano ya harakati kama anavyotaka tuamini .

Kuna efficiency ya mikutano pia, FAM alikuwa anapiga 8 kwa siku..

Tundu Chopper nani atakkodisha? Usalama wake ni very suspicious kwa kipindi chote kilichobaki, sio CDM sio CCM..
Unaposema usalama wake unamaanisha nini?
 
Lissu umecheza karata zako vby, huwezi kung'oa Mbowe kwenye kiti hilo sahau iwe kwa kura ama kwa majungu - uwezo huo hunao kwa sasa.

Wakati anakijemga chama wewe ulikuwa unahangaika na uanaharakti wa kutetea wachimbaji wadogo wa madini, kwa hiyo ni vizuri kuheshimu waliyofanya wenzako hasa wakati chama kilipokuwa kichanga kabisa.

Infact mbowe kawekeza kwako zaidi ya 70% ya ulivyo sasa, hata kama uliutaka wenyekiti basi mguu ulianza nao ndugu siyo wenyewe.

Sasa madamu ushayavulia nguo, hakuna namna BOX litazungumza, ila tunakuomba kwa atakayepigwa hakuna kukimbia, Mbowe ni mtu muungwana sana atakupatia Ujumbe wa Kamati Kuu - hata ugombea Urais utapewa kama utakidhi vigezo. Mbowe hanaga roho ya korosho na ndiyo maana ni mtu mwenye mafanikio makubwa.
Mbowe nani asitoke? kwani ana hati miliki ya Chama?
 
Top schools unaelewa maana yake?

Vipaji Maalum siyo top school ndio sababu Pascal alikwama mbeleni japo yuko vizuri Sana kichwani

Sidhani kama utaelewa tuishie hapo 🐼
Hata TL hakufaulu vizur O level... Ndio maana Advance akaenda Galanos 😂.

UDSM wala hakupata First class honors aache kutulisha u smart fake, hizo Upper second ni za watu average
 
Naunga mkono hoja...sio kila kitu ni cha kusema. Vingine tunakufa navyo. Tundu unadhani vyama Vingine havina changamoto? Unasikia wanaropoka hivyo? Wenzenu wanasutana ndani..mwanaume mpumbavu huvunja taasisi yake kwa mdomo wake mwenyewe
Maana ya CHADEMA ni nini?
 
Kuelekea 2025 ibadilishwe sasa tushafika
 
Back
Top Bottom