Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwa hiyo kumbe hata plan za jinsi atakavyoivusha chadema kama mwenyekiti hana, sababu KUU ya kugombea ni kukomoana? yaani mwaga mboga nimwage ugali? chadema deserves better, man …
Mbona alitoa sera ba dira yake wakati anatangaza nia ya kugombea
 
Hizi ni dua za Kuku

Kama Ruzuku ya milioni 100+ inaendesha makao makuu peke yake hapo atashindwa nini? Wakati mikutano yote watu wanachangishana
 
Whither CHADEMA?

Chama ndio kinaelekea shimoni bila simile.

Naanza kuamini safari hii CCM wamepata mkakati sahihi wa kubomoa roho ya CHADEMA. Sioni hicho chama kikisimama tena na ile jeuri ya "people's power"
 
Kwahiyo lengo lake ni kumkomoa Mbowe au kunusuru Chama......sidhani kama hayo maneno ni ya Lissu iko smart sanaa hawezi kusema recklessly hivo.
Kuchagua maneno ni kazi sana na hapo ndio leadership figure inapopimwa na utasikia yule hafai kuwa kiongozi
 
Hizi ni dua za Kuku

Kama Ruzuku ya milioni 100+ inaendesha makao makuu peke yake hapo atashindwa nini? Wakati mikutano yote watu wanachangishana
Tupo hapa mkuu,

Ruzuku ya Mil 100 haitaweza kufanya mikutano ya harakati kama anavyotaka tuamini .

Kuna efficiency ya mikutano pia, FAM alikuwa anapiga 8 kwa siku..

Tundu Chopper nani atakkodisha? Usalama wake ni very suspicious kwa kipindi chote kilichobaki, sio CDM sio CCM..
 
Unaposema usalama wake unamaanisha nini?
 
Mbowe nani asitoke? kwani ana hati miliki ya Chama?
 
Top schools unaelewa maana yake?

Vipaji Maalum siyo top school ndio sababu Pascal alikwama mbeleni japo yuko vizuri Sana kichwani

Sidhani kama utaelewa tuishie hapo 🐼
Hata TL hakufaulu vizur O level... Ndio maana Advance akaenda Galanos πŸ˜‚.

UDSM wala hakupata First class honors aache kutulisha u smart fake, hizo Upper second ni za watu average
 
Naunga mkono hoja...sio kila kitu ni cha kusema. Vingine tunakufa navyo. Tundu unadhani vyama Vingine havina changamoto? Unasikia wanaropoka hivyo? Wenzenu wanasutana ndani..mwanaume mpumbavu huvunja taasisi yake kwa mdomo wake mwenyewe
Maana ya CHADEMA ni nini?
 
Kuelekea 2025 ibadilishwe sasa tushafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…