Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU