Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA

Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA

Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.

MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Mnajaribu kuzuia upepo kwa nyavu Lissu amekwisha apa harudi nyuma atagombea uwenyekiti!
 
Tumekuwa tunailalamikia CCM n wabaya sifa zote mbaya mbaya.
Lkn hata huko CHADEMA kuna watu wabaya zaidi hata ya CCM.
Watu wamekuwa wabinafsi na kuangalia zaidi maslahi yao.
Ndo mana watu wenye akili hawataki kupoteza muda wao kwnda kupiga kura.
 
Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.

MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu😂📌🔨💪🏿
 
Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.

MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Ukiamini siasa ni static utapata shida Sana, wanasiasa wanabadilika
 
Mbowe Hana jipya,chama hakina amsha amsha km miaka 13 iliyopita.
Huu nao n upumbavu iweje mtu mmoja tu aongoze zaidi ya miaka 20?
Na kwambia mwenyekiti awe lissu, makamu heche, katibu mkuu kigaila au lema, ccm hawatalala
 
Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu😂📌🔨💪🏿
Hayo yalishapita mkuu, nakuhakikishia anagombea🤣
 
Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.

MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Heasabu za kisiasa hizi
 
Back
Top Bottom