CORRECT, VERY CORRECT, SWALI KWAKO: MBOWE ANA MAPUNGUFU GANI KATIKA NAFASI HIYOIla lisu angekaa kwenye hiyo nafasi ingekua jambo zuri mno.
Tatizo hana uhusiano wa kifamilia na Mzee Mtei.Ila lisu angekaa kwenye hiyo nafasi ingekua jambo zuri mno.
Tundu Lissu hawezi kutumika na CCMTundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Nyie UWT si ndiyo mnatakiwa mfurahie anguko la CHADEMA au hamtaki?Waandishi wa Habari wapumbavu ambao hawajui kuuliza maswali....
Swali ikibidi liwe hiviii... " Mheshimiwa Tundu Lissu upepo wa Uenyekiti wa CHADEMA uko kwako... Watanzania wana Imani na wewe kuweza kuivusha CHADEMA kutoka hapa ilipo kwani Ni wazi Mwenyekiti Wa kudumu FREEMAN AIKAEL MBOWE haonekani kuwa na Jipya lakini hasahasa Hana upepo kama ulionao wewe.. Je upo tayari kuwa Mwenyekiti na kushindana na MBOWE ktk uchaguzi ujao"??
Lissu hajawahi kuwa na tamaa hata dak 1Kuchukua nafasi ya uenyekiti, wakati huo huo unataka kugombea nafasi ya Urais, wakati huo huo kuna mwanachama nae kuchukua fomu ya kuwa mgombea nafasi ya Urais, kanuni haziruhusu.
Kwani kutokea mgongano wa kimaslahi. Kwani mwenyekiti wa chama ni mwenyekiti au mjumbe wa kamati ya kumtafuta mgombea wa Urais.
Siku mukisikia Lissu kakubali kuchukua nafasi ya mwenyekiti, mujue hatogombea nafasi ya Urais.
Sasa naye Lissu kwa akili yake anafikiria kuna mtu anaweza kumchagua kuwa mwenyekiti wa CHADEMA? Lissu hana uwezo wa kuongoza hata familia yake tu.Kazi iendelee, hivi akina Lucas Mwashambwa wanajisikiaje baada ya Lissu kususa kufarakanishwa?
Wachagga mlioko chadema acheni kuteseka ,mzee Mbowe ni lazima aachie ngazi.Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Maneno ya wanasiasa wa pande zote,usiyaamini sana.Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Leo atasifiwa na kila msukule wa mzee MboweLissu hajawahi kuwa na tamaa hata dak 1
Hata mumeo akifanya vizuri tutamsifiaLeo atasifiwa na kila msukule wa mzee Mbowe
Muungwana ana uchu na tamaa za vyeo na madaraka sana huyo ingawa ana matatizo ya utimamu wa mwili..Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Ametumia hekima ya kuyaokoa maisha yake, hongera kwake, amegundua "" The chair is untouchable "Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU