kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mnajaribu kuzuia upepo kwa nyavu Lissu amekwisha apa harudi nyuma atagombea uwenyekiti!Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Atake Asitake atakaa 🐼Ila lisu angekaa kwenye hiyo nafasi ingekua jambo zuri mno.
Mbowe Hana jipya,chama hakina amsha amsha km miaka 13 iliyopita.CORRECT, VERY CORRECT, SWALI KWAKO: MBOWE ANA MAPUNGUFU GANI KATIKA NAFASI HIYO
Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu😂📌🔨💪🏿Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
That's all you can say😂Ametumia hekima ya kuyaokoa maisha yake, hongera kwake, amegundua "" The chair is untouchable "
Hapana. Nafasi ya Urais ni sawa.Ila lisu angekaa kwenye hiyo nafasi ingekua jambo zuri mno.
Pia nayo sawa tu.Hapana. Nafasi ya Urais ni sawa.
HakikaPia nayo sawa tu.
Ukiamini siasa ni static utapata shida Sana, wanasiasa wanabadilikaTundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU
Na ni haki yake kikatiba, Kwa sasa chadema waende na lissu, makamu wampe lema au hecheMnajaribu kuzuia upepo kwa nyavu Lissu amekwisha apa harudi nyuma atagombea uwenyekiti!
Na ccm wangebadili secretariet fastaIla lisu angekaa kwenye hiyo nafasi ingekua jambo zuri mno.
Na kwambia mwenyekiti awe lissu, makamu heche, katibu mkuu kigaila au lema, ccm hawatalalaMbowe Hana jipya,chama hakina amsha amsha km miaka 13 iliyopita.
Huu nao n upumbavu iweje mtu mmoja tu aongoze zaidi ya miaka 20?
Hayo yalishapita mkuu, nakuhakikishia anagombea🤣Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu😂📌🔨💪🏿
Alikusikia Mkuu.Ila lisu angekaa kwenye hiyo nafasi ingekua jambo zuri mno.
Alisifiwa kwasababu hawataki Mbowe atoke pale, ona sasa baada ya Lissu kubadili gia, vilio kila kona.Leo atasifiwa na kila msukule wa mzee Mbowe
Heasabu za kisiasa hiziTundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
MACHAWA NJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUKU KUNA HABARI YENU