Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Mimi sijayaona hayo mema ya Nyerere, Jee Tundu Lissu nae anafanya maajabu kumponda Nyerere? Umensikiliza?

Anasema huu Muungano wa Nyerere ni kuifanya Zanzibar kuwa koloni la Tanganyika, hata Rais wao anachaguliwa Dodoma.

Jee, ni jema hilo, wakati sisi wenyewe tunajidai kulaani ukoloni?
Umeanza lini kumwamini Lissu?
 
Tundu Lisu ni kati ya watanzania wachache hovyo kabisa katika jamii yetu. Amekosa hekima, busara na maarifa. Baba yako akiharibu au kukosea inahitaji busara kuzungunmza nae au kumwelekeza au kumsahihisha siyo lugha za kishenzi name kipumbavu anazotumia lissu.

Nani alisema Nyerere ni mungu MTU?

Au wapi pameandikwa hivyo? Kama amekosea unamsahihisha kwa hekima bila kutumia nguvu kutuaminisha kuwa we we ndo unafikiri sahihi.
 
mbona hilo liko wazi nyerere ni binadam Kama walivyo binadamu wengine na kuna mengi makosa kafanya

Tundu Lissu anasema kuna "process katika nchi hii ya kum deify Mwalimu" "deification ni process ya kumfanya Mungu".

Tundu Lissu anasema "Lila mtu akitaka ku justify hoja yake, mwalimu, mwalimu, mwalimu na kuna mambo mengi sana ambayo mwalim aliyafanya na mambo mengine mabaya mengi tu ambayo aliyafanya " anasisitiza. "Tunataka kumtengeneza into a demigod that he never was" "kwa hiyo huwezi kum criticize" "kwa sabau aaaah anamtukana mwalimu".

Anaendelea kusema kuna mambo "mabaya ya kiutawala kuanzia 1962 mpaka hii leo."

"Urithi wa Mwalimu sikubaliani nao" - Tundu Lissu
 
Tundu Lisu ni kati ya watanzania wachache hovyo kabisa katika jamii yetu. Amekosa hekima, busara na maarifa. Baba yako akiharibu au kukosea inahitaji busara kuzungunmza nae au kumwelekeza au kumsahihisha siyo lugha za kishenzi name kipumbavu anazotumia lissu.

Nani alisema Nyerere ni mungu MTU?

Au wapi pameandikwa hivyo? Kama amekosea unamsahihisha kwa hekima bila kutumia nguvu kutuaminisha kuwa we we ndo unafikiri sahihi.

"Urithi wa Mwalimu sikubaliani nao" - Tundu Lissu
 
FaizaFoxy, ije mvua, lije jua, Nyerere atakuwa mtakatifu tu. Naomba Mungu(sio allah) akupe uhai ushuhudie mtakatifu Nyerere atakavyoleta neema Tanzania kila tutakapomuomba Mungu kupitia kwake
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikiwafuatilia Tundu na Jerry Mara kadhaa katika maongezi na mijadala yao kuhusu Mwl Nyerere.

Hats kama humpendi mtu yeyote kwa sababu binafsi au za kijamii ni vema mkatumia busara, hekima na maarifa katka kumzungumzia mtu mwengine.

Mwl Nyerere ni kati ya viongozi wa kiafrica wanaoheshimika sana ndani ya Africa na nje ya Africa. Kwenu nyie akina Lisu na Jerry hamuwezi kumfikia hats 1/8 ya heshima aliyonayo Mwl.

Hata kama mna uwezo wa kumzidi heshima bdo ni vema mkatanguliza hekima na busara mnapochangia kuhusu yeyote si Mwl Nyerere tu viongozi na wasio viongozi.
 
Kwani habari zote zinazoletwa humu JF ili iweje?

Hahahha yaani unavyowaweza hawa waruga ruga! Unaenda nao polepole alafu yalivyo majinga badala ya kujadili hoja ya tundu lissu yanakujadili wewe! Hatari sana
 
Dada. Wewe unamuamini Tundu Lissu?

Swala la kumuamini au kutokuamini halipo, swala ni kuwa anamponda Nyerere wazi wazi na katika hilo nnakubaliana nae.

Jee, wewe unakubaliana nae, kuwa matatizo ya kiutawala toka mwaka wa 62 mpaka leo hii ni ya Nyerere.
 
Unafikiri kuwa Nyerere kafanya "mabaya mengi sana" kama Tundu Lissu asemavyo?

Kwa nini hukuuliza swali kama hili wakati unapost thread? Wakati mwingine umaamuma na ushabiki wako unakufanya ukurupuke na kuingia kwenye ubishani usio na maana. Lisu kasema maoni yake. Kwa nini hujaona kuwa ni muhimu kuheshimu uhuru wa ke wa kujieleza. Kaona na anaaomini Mwalimu alikuwa na mambo mengi yaliyokuwa si sahihi katika mfumo ule. Kama ataweza kuyataja hulazimishwi wewe pia kuamini kila atakachoamini yeye. Kumbuka kuwa yeye (Lisu) pia sio malaika kuwa sahihi kwa kila jambo.
 
Ndio ni kweli.

Safi sana, hata mii nnakubaliana nae anaposema kuwa mwalim alikuwa "na mabaya mengi sana" kwa hiyo unakubaliana na Tundu Lissu kuwa "matatizo ya kiutawala toka mwaka wa 62 mpaka leo hii ni ya Nyerere".
 
Sio kwa ajili Tundu Lissu kasema, bali ni kweli Nyerere sio mungu mtu, ni makosa makubwa kumpigia magoti Nyerere huku tukijua fika kuwa baadhi ya falsafa zake zimetubebesha mzigo mkubwa na mzito sana hadi leo.

Hata hili likatiba linalotulia mapesa yetu chungu mzima ni kutokana na makosa yake ya kutokuiingiza misingi ya azimio la arusha kwenye katiba.[/QUOT

Mi sioni kabisa alipo kosea sema hakuna tunachofata kati ya aliyotuelekeza hasa awamu hii
 
Kwa nini hukuuliza swali kama hili wakati unapost thread? Wakati mwingine umaamuma na ushabiki wako unakufanya ukurupuke na kuingia kwenye ubishani usio na maana. Lisu kasema maoni yake. Kwa nini hujaona kuwa ni muhimu kuheshimu uhuru wa ke wa kujieleza. Kaona na anaaomini Mwalimu alikuwa na mambo mengi yaliyokuwa si sahihi katika mfumo ule. Kama ataweza kuyataja hulazimishwi wewe pia kuamini kila atakachoamini yeye. Kumbuka kuwa yeye (Lisu) pia sio malaika kuwa sahihi kwa kila jambo.

Wacha uongo hakuna mahala Tundu Lissu kasema hayo, Tundu Lissu kasema "mwalim ana mambo mabaya mengi tu..."

Sikiliza, "mabaya" na "si sahihi" kama utakavyo wewe ni vitu tofauti. Kwanini unajaribu kuita ndimu kuwa ni apple? kama ni ndimu ndimu tu.
 
Back
Top Bottom