Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Hiki kipindi ni cha muda lakini nilikuwa sijakisikiliza, leo nimekisikiliza na kuanzia saa moja na dakika nane ya video hii Tundu Lissu anafunguka na kusema, "kuna mengi sana mabaya aliyoyafanya Nyerere".

Msikilize Tundu akimwaga radhi kuhusu Nyerere kuanzia saa moja na dakika nane:

[video]https://youtu.be/1m8IRbqFnb0[/video]

Swali langu; Tundu Lissu, Nyerere atakuwaje mtakatifu kama hajafanywa "Mungu Mtu"?

Akili za kushikiwa hizi, halafu mnajiita wasomi. Kama Tundu Lissu akisema sasa inakuwaje? Kwani Tundu Lissu ana uhusiano gani na Mungu ambao binadamu wengine hawana mpaka ajue kuwa Nyerere si Mungu? Ulimsikia wapi Nyerere akisema yeye ni Mungu mtu?

Sasa nimegundua kwanini unamchukia sana huyu mzee wa watu. Sababu kuu itakuwa ulipokwenda Canada na kujifanya mkimbizi wa CUF unakimbia machafuko Zanzibar ili mpewe ukimbizi Nyerere aliwaumbua kuwa nyie ni njaa tu ndiyo inayowakimbiza.

Wewe ulishakwenda Canada ukajifanya mkimbizi sasa ya Tanzania yanakuhusu nini?

Nyinyi wakimbizi mnashida sana.
 
Wacha uongo hakuna mahala Tundu Lissu kasema hayo, Tundu Lissu kasema "mwalim ana mambo mabaya mengi tu..."

Sikiliza, "mabaya" na "si sahihi" kama utakavyo wewe ni vitu tofauti. Kwanini unajaribu kuita ndimu kuwa ni apple? kama ni ndimu ndimu tu.

Jibu uliloulizwa usitafute pa kutokea!
 
FaizaFoxy, ije mvua, lije jua, Nyerere atakuwa mtakatifu tu. Naomba Mungu(sio allah) akupe uhai ushuhudie mtakatifu Nyerere atakavyoleta neema Tanzania kila tutakapomuomba Mungu kupitia kwake

Utakatifu wa kupachikwa na binaadam wala haunistui, hata leo apachikwe lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu.

Mmepachikwa sanamu la mzungu lililoveshwa nepi na mnakubali na mnaliabudu itakuwa nyerere kupachikwa utakatifu? Unanchekesha!

Eti uwe mtakatifu Afrika mpaka ukapewe huo utakatifu Vatikano na wazungu, huo kama si kuwa kikaragosi ch wazungu ni nini? wamekichezea watakavyo wao na sasa wanakupakeni mafuta kwa mgong wa chupa waendelee kuwachezea, na nyie mmo tu mnashangilia.

Mwafrika mwenzake, na aliyekuwepo kwenye utawala wake na yupo kwenye siasa, Tundu Lissu ambae mnaamini ni msomi anasema "matatizo ya kiutawala toka mwaka wa 62 mpaka leo hii ni ya mwalim". Hamkubali. Mnanshangaza sana.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Swala la kumuamini au kutokuamini halipo, swala ni kuwa anamponda Nyerere wazi wazi na katika hilo nnakubaliana nae.

Jee, wewe unakubaliana nae, kuwa matatizo ya kiutawala toka mwaka wa 62 mpaka leo hii ni ya Nyerere.

...nimekuelewa dada. Tunapaswa kumshukuru Mungu kutujalia mtu kama Tundu Lissu.
Lakini Lissu yeye kayasema maCCM yanayotumia jina la baba wa taifa kama hirizi.

Wakati Lissu anasema Baba wa Taifa hakuwa Mungu, Baba wa Taifa mwenyewe wala hakutaka hata kujilinganisha na mwenyezi Mungu. Nakumbuka alipokuwa akihutubia sikukuu ya wafanyakazi pale Mbeya alikiri mwenyewe kuwa wao hawakuwa MALAIKA na kwamba kama binadamu, walifanya pia makosa. Kwa hiyo kumlinganisha na Mungu kunakofanywa na magamba hata baba wa taifa mwenyewe angekuwepo angewakana.
 
Tundu Lissu anashangaa vipi mpaka Rais wa Zanzibar anaamuliwa Dodoma na tunaitawala Zanzibar kwa mabavu anasema haukubali huu muungano uliopo.

yani nakua naiona zanzibar kama mkoa lkn vidudu mtu taratibu vonaitenga kua nchi
 
Akili za kushikiwa hizi, halafu mnajiita wasomi. Kama Tundu Lissu akisema sasa inakuwaje? Kwani Tundu Lissu ana uhusiano gani na Mungu ambao binadamu wengine hawana mpaka ajue kuwa Nyerere si Mungu? Ulimsikia wapi Nyerere akisema yeye ni Mungu mtu?

Sasa nimegundua kwanini unamchukia sana huyu mzee wa watu. Sababu kuu itakuwa ulipokwenda Canada na kujifanya mkimbizi wa CUF unakimbia machafuko Zanzibar ili mpewe ukimbizi Nyerere aliwaumbua kuwa nyie ni njaa tu ndiyo inayowakimbiza.

Wewe ulishakwenda Canada ukajifanya mkimbizi sasa ya Tanzania yanakuhusu nini?

Nyinyi wakimbizi mnashida sana.

Nilipokwenda Canada, hata CUF ilikuwa haijukani, nimeondoka kwa njaa kweli iliyokuwepo Tanzania, hapo mwalim wako analijuwa hilo na hajakosea.

Hata sukari ilikuwa foleni, kama si njaa nini hicho.

Tundu Lisuu anasema kuwa "matatizo ya kiutawala toka mwaka wa 62 mpaka leo hii ni ya mwalimu".
 
Mimi au Tundu Lissu? sijatia langu humo.

Kwa unavyomchukia Nyerere naona leo roho yako iko kwatu kwa hiyo clip ya Lissu.
Swali kwako sasa dada faiza, hebu nipe maoni yako kwa wafuasi wenzio wa magamba wanaomponda Bw Lissu kwa hiyo kauli yake.
 
...nimekuelewa dada. Tunapaswa kumshukuru Mungu kutujalia mtu kama Tundu Lissu.
Lakini Lissu yeye kayasema maCCM yanayotumia jina la baba wa taifa kama hirizi.

Wakati Lissu anasema Baba wa Taifa hakuwa Mungu, Baba wa Taifa mwenyewe wala hakutaka hata kujilinganisha na mwenyezi Mungu. Nakumbuka alipokuwa akihutubia sikukuu ya wafanyakazi pale Mbeya alikiri mwenyewe kuwa wao hawakuwa MALAIKA na kwamba kama binadamu, walifanya pia makosa. Kwa hiyo kumlinganisha na Mungu kunakofanywa na magamba hata baba wa taifa mwenyewe angekuwepo angewakana.

Hakuna mahala kaitaja CCM, wacha uongo.
 
Kwa unavyomchukia Nyerere naona leo roho yako iko kwatu kwa hiyo clip ya Lissu.
Swali kwako sasa dada faiza, hebu nipe maoni yako kwa wafuasi wenzio wa magamba wanaomponda Bw Lissu kwa hiyo kauli yake.

Sipo hapa kumsemea mtu.

Mtu anaesema ukweli huyo hata atoke upinzani ntamuunga mkono kwa ukweli wake na hata atoke CCM ntamponda kwa uongo wake na kuwajibika kwake.

Nyerere si mmoja wa waasisi wa CCM? mbona sikubaliani nae utawala wake? na nnamuunga mkono Lissu kwa hili. Fikiri.

Mimi siyo CCM maslahi, mimi CCM asili - Warioba.

Unafikiri mimi kama Slaa? alipoona hana maslahi akaihama CCM.

CCM nimeng'eng'ana humo humo hata wakati wa "mambo mabaya mengi tu" ya "mwalimu" nikiamini hutengenezi ukiwa nje.

Naam, ntabaki kuwa CCM na tunarekebisha tukiwa humo humo ndani ya CCM. Mbona leo hii tumeshaanza kuachana kabisa na misingi mibovu ya Nyerere?
 
Utakatifu wa kupachikwa na binaadam wala haunistui, hata leo apachikwe lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu.

Mmepachikwa sanamu la mzungu lililoveshwa nepi na mnakubali na mnaliabudu itakuwa nyerere kupachikwa utakatifu? Unanchekesha!

Eti uwe mtakatifu Afrika mpaka ukapewe huo utakatifu Vatikano na wazungu, huo kama si kuwa kikaragosi ch wazungu ni nini? wamekichezea watakavyo wao na sasa wanakupakeni mafuta kwa mgong wa chupa waendelee kuwachezea, na nyie mmo tu mnashangilia.

Mwafrika mwenzake, na aliyekuwepo kwenye utawala wake na yupo kwenye siasa, Tundu Lissu ambae mnaamini ni msomi anasema "matatizo ya kiutawala toka mwaka wa 62 mpaka leo hii ni ya mwalim". Hamkubali. Mnanshangaza sana.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Kweli dada. hizi dini za kigeni zinatuchezea akili kweli! hebu fikiri jitu linaambiwa jifunge bomu kaue nduguzo halafu wewe ukifa utawakuta bikira 70 ukawafaidi na linakubali. Kisa? eti wanalipigania lile libaka watoto lililopewa utume na mpiga ramli likiwa jitu zima la miaka zaidi ya 40 tena mapangoni lilikokuwa linaabudu masanamu.
Sijui hizo shule wanaenda kusomea ujinga?
 
Nilipokwenda Canada, hata CUF ilikuwa haijukani, nimeondoka kwa njaa kweli iliyokuwepo Tanzania, hapo mwalim wako analijuwa hilo na hajakosea.

Hata sukari ilikuwa foleni, kama si njaa nini hicho.

Tundu Lisuu anasema kuwa "matatizo ya kiutawala toka mwaka wa 62 mpaka leo hii ni ya mwalimu".

Hapana. Amesema katiba ya 1962 hadi ya sasa ni ya mwalimu
 
Nyerere atafanywa mtakatifu, unabisha??

Hilo sibishi hata chembe, ikiwa mwanasesere wa kizungu mmeambiwa mungu wenu na mnamuabudu, leo hii hata shetani mkiambiwa mtakatifu na wazungu mtakubali tu. Si misukule.

kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Kwa hiyo FF anamkubali Tundu Lissu siku hizi. Sikujua kuhusu hilo.....

FF anakubali maneno ya Lissu kuwa:

1. Shule za kata ni aibu kwa Taifa.
2. Maabara za mashuleni zimelazimishwa kujengwa na mtu asiyejua maana yake.
3. Chadema si chama cha Wachaga......
 
Akili za kushikiwa hizi, halafu mnajiita wasomi. Kama Tundu Lissu akisema sasa inakuwaje? Kwani Tundu Lissu ana uhusiano gani na Mungu ambao binadamu wengine hawana mpaka ajue kuwa Nyerere si Mungu? Ulimsikia wapi Nyerere akisema yeye ni Mungu mtu?

Sasa nimegundua kwanini unamchukia sana huyu mzee wa watu. Sababu kuu itakuwa ulipokwenda Canada na kujifanya mkimbizi wa CUF unakimbia machafuko Zanzibar ili mpewe ukimbizi Nyerere aliwaumbua kuwa nyie ni njaa tu ndiyo inayowakimbiza.

Wewe ulishakwenda Canada ukajifanya mkimbizi sasa ya Tanzania yanakuhusu nini?

Nyinyi wakimbizi mnashida sana.

funguka zaidi mkuu
 
Back
Top Bottom